Wadau,
nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo.
Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo...
Shughuli gani huweza kumfanya mtu kuwa tajiri
Siku moja niliwahi kumuuliza tajiri mmoja anitajie jambo moja kuu analofikiria ndilo lililomfanya akawa tajiri na kuwa na mafanikio katika maisha...
wajasiliamali wa kuku hiyo incubator inapatikana Kibaha, imefanya kazi hardly 3 months, pia utapewa na offer ya generator ya kuendeshea, sababu ya kuuza ni kwa sababu nimeamua kubadilisha...
1.Pata ufahamu wa uhusiano baina ya nyuki na mwanadamu katika eneo lako
2.Jifunze namna ya kufuga nyuki
3.Pitia visa kadhaa vya kungatwa kabla ya kujitolea kufuga nyuki
4.Unda utaratibu mzuri na...
salama wakuu!
Naomba mnisaidie kubrain storm kidogo hapa!
Ninatarajia kwenda China January kuangalia buzzness opportunity ambayo inaweza kunitoa nikiileta Bongo! so nahitaji Ushauri wa aina hiyo...
Waungwana kwa wale wenye uzoefu naomba muongozo tafadhali. Nataka kujenga banda kama hilo hapo chini lenye ukubwa wa (5X20). Nina kashamba kangu kapo Msata njia ya Bagamoyo nilitaka nimwekee mama...
Hallo wana JF.
Natumain kila Mmoja wetu anatambua Nguvu iliyopo pale watu wanapoamua kuungana na kuwa kitu kimoja. Kwani kunakuwa na faida ndani yake. Moja ya faida kubwa ni Mawozo(Ideas) hatA...
Ukifanya bisahara Tanzania inalipa. Ila usiuze pembe za ndovu au madawa ya kulevya. Vipo vingi vya kuuza ambavyo ni halali.:A S tongue:CHATGUEST FORUMS is your best source for knowledge.
Kutakuwa na Nyama Choma katika viwanja vya Posta Kijitonyama Jumamosi Tar 16 November 2013, tukio hili litaenda sambamba na muziki, michezo ya watoto, vinywaji, michezo kama pool pia itakuwepo...
nimeletewa trecta ili niweze kukodisha kwa wakulima hivi jamani bado biashara hii inalipa na wapi kwa sasa yanahitajika ni Massey ferguso 375, naomba mnishauri
Naitwa jofrey george, mwandisi wa majengo, nafanya kazi za kuchora ramani za majengo aina zote, kupiga gharama za ujenzi(bopq), kusimamia ujenzi na ushauri wa kitaalamu kuhusu majengo...
Gari aina ya Toyota Hiace inauzwa. Ipo Dar es salaam na Iko kwenye hali nzuri sana. Ni ya mwaka 1996, Engine ya Diesel, ina viti vya kukaa watu 17, na imesajiliwa kwa Biashara. Mwenye kuihitaji...
Habari Wanajamvi.
Nategemea kuhamia dodoma mjini kama wiki mbili zijazo.
Napenda nizifahamu fursa za kijasiriamali huko mana mimi ni mtumishi wa serikali ambae napenda pia niwe na kipato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.