Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Nataka kununua pikipiki ya tairi tatu je inalipa? Naombeni wenyekujua mnipe ushauri.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo. Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shughuli gani huweza kumfanya mtu kuwa tajiri Siku moja niliwahi kumuuliza tajiri mmoja anitajie jambo moja kuu analofikiria ndilo lililomfanya akawa tajiri na kuwa na mafanikio katika maisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina mtaji tajwa hapo juu naeza anza biashara gan tofaut na ufugaji.plz naomba kujuzwa.asante
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jf naomba sana kwa walikuwa na mbwa na sungura weupe na hitaji mm napatikana dar.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada, natafuta eneo kwa ajili ya kilimo, nahitaji eka 2 hadi 5 maeneo ya mwanza. Msaada utathaminiwa
0 Reactions
0 Replies
774 Views
wajasiliamali wa kuku hiyo incubator inapatikana Kibaha, imefanya kazi hardly 3 months, pia utapewa na offer ya generator ya kuendeshea, sababu ya kuuza ni kwa sababu nimeamua kubadilisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Redirect
1.Pata ufahamu wa uhusiano baina ya nyuki na mwanadamu katika eneo lako 2.Jifunze namna ya kufuga nyuki 3.Pitia visa kadhaa vya kung’atwa kabla ya kujitolea kufuga nyuki 4.Unda utaratibu mzuri na...
1 Reactions
Replies
Views
salama wakuu! Naomba mnisaidie kubrain storm kidogo hapa! Ninatarajia kwenda China January kuangalia buzzness opportunity ambayo inaweza kunitoa nikiileta Bongo! so nahitaji Ushauri wa aina hiyo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Waungwana kwa wale wenye uzoefu naomba muongozo tafadhali. Nataka kujenga banda kama hilo hapo chini lenye ukubwa wa (5X20). Nina kashamba kangu kapo Msata njia ya Bagamoyo nilitaka nimwekee mama...
2 Reactions
25 Replies
12K Views
Kwa yeyote anayejua zinapatikana wapi kwa bei gani anijulishe tafadhali mpya ama second hand Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hallo wana JF. Natumain kila Mmoja wetu anatambua Nguvu iliyopo pale watu wanapoamua kuungana na kuwa kitu kimoja. Kwani kunakuwa na faida ndani yake. Moja ya faida kubwa ni Mawozo(Ideas) hatA...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukifanya bisahara Tanzania inalipa. Ila usiuze pembe za ndovu au madawa ya kulevya. Vipo vingi vya kuuza ambavyo ni halali.:A S tongue:CHATGUEST FORUMS is your best source for knowledge.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na Nyama Choma katika viwanja vya Posta Kijitonyama Jumamosi Tar 16 November 2013, tukio hili litaenda sambamba na muziki, michezo ya watoto, vinywaji, michezo kama pool pia itakuwepo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nimeletewa trecta ili niweze kukodisha kwa wakulima hivi jamani bado biashara hii inalipa na wapi kwa sasa yanahitajika ni Massey ferguso 375, naomba mnishauri
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Naitwa jofrey george, mwandisi wa majengo, nafanya kazi za kuchora ramani za majengo aina zote, kupiga gharama za ujenzi(bopq), kusimamia ujenzi na ushauri wa kitaalamu kuhusu majengo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Gari aina ya Toyota Hiace inauzwa. Ipo Dar es salaam na Iko kwenye hali nzuri sana. Ni ya mwaka 1996, Engine ya Diesel, ina viti vya kukaa watu 17, na imesajiliwa kwa Biashara. Mwenye kuihitaji...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari Wanajamvi. Nategemea kuhamia dodoma mjini kama wiki mbili zijazo. Napenda nizifahamu fursa za kijasiriamali huko mana mimi ni mtumishi wa serikali ambae napenda pia niwe na kipato cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajf..! Niko dar naitaji msaada toka kwa mtu anayefanya biashara ya kuuza viatu vya kina dada,Kama upo naomba nipm namba yako.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana JF. Nipo dodoma mjini na nina mtaji wa 2m. Biashara gani inalipa kuifanya kwa huo mtaji? Mungu awabariki.
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Back
Top Bottom