Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

WanaJF, Majuzi nilikuwa nawasikiliza wasomi wa SUA walioenda Uturuki na kurudi na taaluma nzuri hoticulture. Ktk maelezo yao nilifurahi JInsi ambavyo unaweza kulima hekta moja (eka 2 na nusu) na...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wandugu Mimi ni mtaalamu wa mambo mbalimbali ninatafuta tenda za kupamba katika kumbi mbalimbali za sherehe, au shughulli kama vile mikutanoni, misibani, na shughuli yoyote, ni mtaalamu wa...
2 Reactions
5 Replies
7K Views
umeme wa solar unasaidia sana maeneo ambayo umeme haujafika. Na pia kwa mjini kwa tatizo la kukatika umeme solar ni suluhisho. Kwa wale wanaohitaji huduma hii ya solar kwa mkopo tunawakaribisha...
2 Reactions
25 Replies
12K Views
Habari wana jukwaa, Tafadhari naomba kwa anayejua wapi vinapatikana vifaa tajwa, naomba anifaamishe, niko Dar. Natanguliza shukrani. Wakubwa, samahani title imekosewa kidogo, hapo kwenye...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Jamani wataalamu wa kufikiri ninataka kununua bajajy lakini sijui ubovu wake na matatizo ambayo zinazo.nataka kuinunua kwa ajili ya biashara ya abiria. Naomba ushauri wa aina zake na ubovu wake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wakazi wa Dsm naomba mnifahahamishe nitapata wapi laini ya tigo pesa ya uwakala
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Helo peoplez! Poleni na shughuli za kila siku. Naomba msaada wa majina ya vitabu vizuri vyenye kuhamasisha kuhusiana na ujasiriamali ambavyo naweza kupata online. Mfano kama: Rich Dad Poor Dad...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
kwa yeyote anaehitaji
6 Reactions
11 Replies
4K Views
Wadau mnao fahamu please, naomba kujua kama umeanzisha blog yako na unaitumia kwa mambo yako, je unaweza kuiendesha kibiashara pia, YAANI richa ya mambo yako je unawezaje kuitumia kujipatia japo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina taka mtu aneweza kunifahamishi jinsi majib ya maswali ninayokuwa nime jibiwa niweze kuwa nina yapata ibox kwa urahisi!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Wanajf! natumaini nyote mu wazima mkiendelea vyema kulijenga taifa letu. nauliza soko la madini ya ruby kwa dar na kama unafahamu bei kwa point na mambo mengineyo, tafadhali naomba nijulishe...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
N'gombe maziwa wa kisasa 5 wanauzwa. Bei Tsh700,00/= mpaka Tsh.950,000/= Kwa anayehitaji tuwasiliane. Kilimo kwanza!
0 Reactions
13 Replies
18K Views
NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI JIJINI ARUSHA. RAFIKIeLIMU FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya VISION FOR YOUTH ya Jijini Arusha, wanakuletea SEMINA YA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamvi natumai mu wazima wa afya, Naombeni msaada wenu nategemea kupata pesa kama ml.10. Je? mnanishauri nifanye biashara gani hapa Dar au around mkoa wa Pwani? Natanguliza shukrani zenu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu sana. Napenda kabla ya yote niappreciate michango yenu hasa katika forum hii, imekuwa ikinisaidia sana. Sasa turudi kwenye uzi huo hapo juu: Naomba mwenye ushauri juu ya jambo...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Hawa nimiongoni mwa wafanyabiashara wanaokutana na mazingira magumu sana pindi wakiwa kwenye ofisi zao. Natumaini wengi wetu tumeshakutana au kuona jinsi gani hawa jamaa wanavyofanya hizo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu ndugu!! Nina mjomba wangu anastaafu mwaka huu! Na pensheni yake itasoma kama Mil 50,hivyo wadau Naomba mchangunuo wenu Wa biashara gani afanye!!!
0 Reactions
31 Replies
5K Views
kwa wanaohitaji kuku wa kienyeji na mayai yake kwa wingi yanapatikana nipo kanda ya ziwa.tuwasiliane nikuletee mpaka ulipo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nina eneo la robo tatu eka Morogoro maeneo ya Nanenane karibu na shule ya sekondary Tubuyu. Ni eneo lililopimwa na documents zake ninazo. Kwa sasa nimelizungushia ukuta lote na kuweka geti...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
niko kwenye semina ya ujasiliamali Tumain university Iringa na watu wa ILO asikudanganye mtu hawa jamaa wako fiti kwenye mambo ya enterprenuership nitazd kuwapa yaliyojili
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom