Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wajf mm nmehitimu chuo july wakati naendelea kutafuta kazi nataka nijikite kwenye kilimo kuna shamba maeneo ya malela ningependa kuuliza ni mazao gani yatakayofaa kuanzia na ambayo yataweza...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naitaji kuku wa kienyeji majike 10 nataka nifuge jogoo ninaye tayari Mwenye nao anichek PM bei yake Napatikana dsm Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji ila kila napototolesha vifaranga majogoo wanatotolewa wengi kuliko matetea. Naomba kujuzwa kama kuna tecknolojia ya kulitambua yai lenye kifaranga cha...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wakuu, wajenga Taifa na wachukuia mafisadi na ufisadi. Kutokana na mipangilio yangu ya kikazi nimeamua kutokulima vitunguu kwenye shamba langu la Ruaha Mbuyuni mwaka huu. Nina eka 50...
13 Reactions
66 Replies
16K Views
nna 26 yrs,npo moro...mtaji wa tsh milon tatu(03)unatosha kuanzisha biashara ya mtumba! Ushauri tafadhari
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari. Katika shughuli zangu za kiujasiriamali nilihitaji kwenda kununua dollar 20 ktk bureau de change moja hapa mjini Dar. Wakanipa dollar 20 ambayo baada ya kufika home nikagundua kuwa ilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nipo mkoani na hiyo ndo idea yangu, nina mil. 5,aliyetayari tufanye biashara niwe supplier.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wadau naombeni msaada wa mahali ninakoweza kupata sodium nitrate n calcium cabonate. Hizini materials muhimu katika uzalishaji wa mkaa wabriquette. Nisaidieni jamani nijikwamue maana maisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Naomba kusaidiwa contact za mtu yeyote anaweza kunipatie miche ya apple. Zote za kienyeji na zile za south africa. Na bei yake tafadhali. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu humu. Naamini mkopoa kabisa. Sasa wakuu wa kaya. Kijana wenu kutokana na maisha yanvyo zidi kupanda na kikazi changu cha bank ambacho mshahara wote unaisha kabla ya tarehe kukutana na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hes on k24, citizen tv on dstv akitueleza sisi vijana wa east afrika karibu tusikilize mzee anavyosema kuhusu ujasiliamali
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wana Jf. Nahitaji kununua kuku wa kienyeji wa kufuga, at least mwenye umriwa miezi 4. Aina yeyote(Malawi, chotara....). Nita furahi niipata muuzaji aliepo Mkoani MWANZA ili iwe rahisi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
  • Closed
Je umekuwa ukihangaika katika mawazo yako na maswali mengi kuhusu greenhouse? Je umekuwa ukipata stress (msongo wa mawazo) kutokana na kutopata maelezo na mafunzo sahihi ya jinsi ya kufanya kilimo...
8 Reactions
92 Replies
15K Views
Naomba mtu anijuze vigezo vya kuanzisha hii kitu na faida zake please.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari zenu wana JF Mimi kama mjasiriamali nilitaka kujua kuhusu faida gani nazipata nikiwa mwanachama wa vikoba na riba kiasi gani pamoja na muda wa marejesho
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Hii wanajamiii Wajasiliamali wenzanguu.. Nina shida kidogo hapa kwa wale wanaofuga kuku wa kienyeji.... Nina Kuku wangu wanataga mayai ila awatotoi na kama wakitotoa ni kifaranga kamoja Kimoja...
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Eti wana JF wapi naweza kuuza asali ya nyuki wakubwa kwa jumla kwa DAR ES SALAAM? Na je naweza kuuza kwa bei gani? Natanguliza shukrani zangu kwa wale watakaonisaidia
0 Reactions
9 Replies
5K Views
I am looking for business partner(s) that we can enter into supply business. I am located in Mbeya, Tanzania. I am thinking to export food stuffs (like onions, rice, maize, garlic, carrot, soya...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Habar wakuu samahan nataka kununua shamba ambalo halijawahi limwa hata mara moja ambalo ni pori naanza kufyeka naomba kujunzwa maeneo ambayo nitapata kununua kwa bei poa na taratibu za kufuata...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Sina nia ya kuwaharibia hawa jamaa biashara, ila natoa angalizo kwa mtu ambaye bado hajaingia kwenye huu mkenge wa kununua mashine yao ....apige hesabu Nzuri. Kwanza kabisa napongeza jitihada...
7 Reactions
24 Replies
31K Views
Back
Top Bottom