Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habar wakuu samahan nataka kununua shamba ambalo halijawahi limwa hata mara moja ambalo ni pori naanza kufyeka naomba kujunzwa maeneo ambayo nitapata kununua kwa bei poa na taratibu za kufuata...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Sina nia ya kuwaharibia hawa jamaa biashara, ila natoa angalizo kwa mtu ambaye bado hajaingia kwenye huu mkenge wa kununua mashine yao ....apige hesabu Nzuri. Kwanza kabisa napongeza jitihada...
7 Reactions
24 Replies
31K Views
Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa milioni moja
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, Naomba kufahamishwa kwa anayefahamu kuhusu virutubisho vinavyopatikana katika Uduvi kama ni sawa na vile vinavyo patikana katika Dagaa, Samaki.
0 Reactions
8 Replies
14K Views
Mimi ni kijana mtanzania,natafuta business partner tudesign na kufanya biashara....mtaji tutashea. Mwenye wazo kama langu anipm tuyajenge.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF habari zenu, Ni mwaka sasa toka nimemaliza shahada yangu na sijafanikiwa kupata kazi ya kuajiriwa moja kwa moja, binafsi ninaona muda si rafiki kwangu kutokana na malengo yangu.Hivyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa nijulisheni wapi naweza kupata mayai kwa ajili ya kutotolesha. ●Aina ya mayai- yawe ya kuku aina ya hampshire. ●Au chotara yoyote- iwe dual-purpose. ●Au aina nyingine...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wajameni. Nasikia wakulima wa miti ya mitiki(Teak) huko moro wanaongelea CRDB bank wanatoa mikopo kwa dhamana ya hiyo miti, wanasema miti yenye umri wa kuanzia miaka 3 na kuanzia hekari 1...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Mpaka muda huu sijapata majibu ya hizi hoja zangu muhimu. 1.Incubator ya mayai 3,000 inatumia watt ngapi za umeme,nauliza hivyo ili nijue kama solar za watt ngapi zinaweza kufit. 2.Ikiwa solar...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, nahitaji kujua taratibu za kufungua duka la dawa muhimu, kwa anaejua plz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naomba kufahamu kwenu wadau, hii dae es salaam stock exchange (DSE) nami mjasiriamali ninaweza kufaidika nayo?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello wana JF, nina jamaa yangu anataka kuingia katika biashara(dhahabu ya gold) hii ikoa ya Shinyanga/Tabora. Yeye amekulia na Uncle yake enzi hizo miaka ya 80s/90s. wakati anakua na mzee wake...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu, Mafanikio ya Biashara si kitu Cha kitoto hata kidogo na some time huchukua hata miaka 20 ila kikubwa ni kutokata tamaa kamwe. Vile vile Mafanikio yanahitaji Vitu Vingi sana, Kama Vile: 1...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wakulima wa ufuta naombeni mnisaidie jambo moja ni aina gani ya mbegu mnayotumia huku kwenu Namtumbo? Naombeni msaada katika hili wadau.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wana JF nina nia ya kuanzisha hiyo biashara. Je kuna mtu mwenye uzoefu nayo tu share information kuhusu urahisi na changamoto za hii biashara? Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Msaada jamani. Ninataka kuweka mbolea shambani. Sijui niwekeje. Maana washauri wejgi mmno. Nashindwa nifanye ipi iliyo bora. Kati ya 1.kumwaga kama kwenye mchicha 2.kuchimba kati ya mstari na...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
#Ulishaji : Kuku wa kienyeji wanaweza kulishwa kwa kumia mahindi, mchele, na mabaki ya ugali. Vyakula hivi ni lazima vikaushwe vizuri na kusagwa vizuri. Ulishaji ni lazima ufanyike katika sehemu...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ushaur wenu wapendwa nina mtaji wa milion mbili nahitaji kuanzisha biashara ya VIPODOZI nipo iringa town
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nahitaji sehemu ya kufungua restaulant ya kwaida yenye kuhudumia watu 10 mpaka 15 vyakula vya uhakika ni wali ugali,pilau, biliani supu chai na vyakula kwa oda, ni maeneo gani mazuri kwa hapa dar...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Back
Top Bottom