Wakuu salaam?
Nianze tu kwa kukiri kwamba nimetumia muda mwingi kujielimisha kitaaluma na baadaye kupata profession ambayo nadhani bado haijawa msaada kwangu. Dhahiri nakiri hapa huo muda...
Kwa yeyote ambae ndo kapata mafao yake na umri ndo uko finaly basi namshauri aanzishe biashara itakayo endana na maswala ya chakula. Maana mwisho wa siku huwezi kukosa mboga wala unga.
Ukiweka...
Habari zenu wapendwa,
Nataka kuanza biashara ya asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo toka tabora naomba kujuzwa nitapata wapi vifungashio kwa ajili ya kuweka hiyo asali nahitaji vya robo lt...
Husika na kichwa cha habari hapo juu, tunatoa huduma ya kuweka na kukuelekeza kutumia tally erp software kuanzia biashara binafsi, miradi, maduka na kampuni ndogo mpaka kubwa kwa bei ndogo kabisa...
Toleo lililopita nilitoa maelezo kuhusu vitu ambavyo vinarudisha nyuma wajasiriamali wengi na wafanyabiashara ambavyo ni vitu vya kawaida na vinafanyika na vingine hufanyika kimakosa bila hata...
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
Ni ukweli usio pingika kwamba Mafanikio yana gharama zake, na ukijaribu kusoma baadhi ya story za watu walio fanikiwa utagundua kwamba wengi waligharamika kwa namna moja au nyingine, ni vigumu...
BAADHI ya wakazi wa kata ya Lumuma, wilaya ya Mpwapwa, wameunga mkono na
kupongeza ushauri waliopewa na Mkuu wa wilaya hiyo, Christopher Kangoye,
kuhusu soko la vitunguu.
Hivi karibuni, mkuu huyo...
Hii article ni maalumu kwa wale wote waliokuwa wana mpinga mkuu Chasha Poultry Farm kuhusu kuwa strategic kwenye biashara.Kuna uzi mmoja wa mjasiriamali wa mkaa watu wengi walionekana kutomuelewa...
Habari zenu wanajamii.
Nahitaji supplier atakaeweza kuniuzia samaki aina ya Sato kwa bei ya atleast tsh5000 - 5,500 per kilogram. Nahitaji kuanzia 300kg kwa siku. Pia naomba msaada kwa yoyote...
Habarini wana jumuiya...naombeni msaada wenu nikitaka mafuta ya alizeti kutoka kiwandani kabisa wanapokamulia hayo mafuta ntapata kwa bei gani aidha kwa litre 5 au 20..na kama kuna mtu ana...
Habari wakuu,
Huku kwetu Dodoma tumebarikiwa kuwa na miti mingi iliyojiotea ya mibuyu lakin mara nyingi baada ya mavuno tumekuwa tukiuza mikoa mingine.
Baada ya kuonja ubuyu uliowekewa...
Kumekuwa na watuwengi ambao wamekuwa wanahitaji kuwawajasiriamali lakini asilimia kubwa wanakuwa ni wale ambao wanakuwa wamefelimipango mikubwa au kuna kitu kimewasukuma ,vitu ambavyo unatakiwa...
Wandugu Habari za leo,
Ninapenda kutoa pendekezo hapa ambalo wadau watakaovutiwa nalo watatoa michango yao ya ku-modify zaidi wazo langu. Kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu ni dhahiri sasa...
Kwa mara ya 2 narudi jukwani kwani mara ya 1 sikupata support,ni kwamba.
1.Kuna automatic incubator inayotumia solar power?
2.Kama ipo,ya mayai 3,000 inauzwaje na inatumia watt ngapi?
3.Changamoto...
Ndugu zangu wana jf naombeni ushauri. Kwa ufupi nataka kufanya biashara ya kusambaza mchanga na kokoto, ila kabla ya kuanza ningependa kujua yafuatayo
. Biashara hii ipoje?
. Sehemu ya kupata...
Hello everyone,
I am a business owner; I buy and sell different products. Are you looking to starting your own business in Tanzania? Do you have capital but lack ideas? Do you already have an...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.