Second Lieutenant
Senior Member
- Jan 13, 2014
- 143
- 26
Habari za asubuhi wadau, jaman nina shida na umoja wa wafugaji dar UFUKUDA, nataka kwenda office kwao ,sijuhi wako maeneo gani, naona huu umoja kama umekufa nataka nikawaamshe, wafugaji tunakufa njaaa bei mbayaaaa za mayai na broiler