Kwa wale wanao ishi maeneo ya Mbeya mjini wapi nitaweza kupata duka la kuuza mbolea aina ya Urea jumla na rejareja (mbolea ya chumvi)?
Msaada wenu unahitajika!
Wadau kwasasa nimefika hatua nzuri ila naitaji sasa mkopo nifungue biashara.Nimejitahidi kujenga ukumbi mkubwa ,pub,vyumba vya flame vinne na chumba mbili za kulala. Uwekezaji huu hupo karibu na...
Ndugu wadau;
Ninaomba kwa mtu yeyote anayejua juu ya biashara tajwa, ninatarajia kuanzisha biashara hii kuleta songea; naomba kujua kuhusu upatikanaji wa bidhaa,bei na mengineyo yatakayo faa...
Habari wandugu natumaini mko poa,nilikuwa nataka kufungua kampuni langu,nilikuwa nahitaji mtu ambaye anaweza akanisaidia kufungua,ningependa anitajie gharama zote zinazoitajika ili kukamilisha...
kwa wale wanaohitaji huduma za kutengenezewa #music video #films , #documentary#TV program
#logo&posters#studio photos
Tunakukaribisha
AFRICAN HITS STUDIO.
Tupo tegeta.
phone: 0712973820 /...
Wakuu karibuni tunasambaza samaki na dagaa waliokaanga na kupakiwa vizuri kwa mikoa ya Dar na Arusha kwa order utakayotupatia.
Dagaa na samaki wote wanatoka ziwa Victoria na pia kwenye...
Habri za leo wana JF,
Kwa wale wote tunaofuga tunajua ni kiasi gani chakula cha kuku kimepanda na bado tunategemea chakula cha kuku kuanzia tarehe 1/10/2015 kitapanda kwa ongezeko la...
Nahitaji kuanzisha mradi wa kufuga kuku wa kienyeji nataka nianze na vifaranga 1000 . sasa wataalamu naombeni mnisadie mambo ya yafuatayo
Gharama zake kuweza kufuga hao kuku.mabanda na chakula...
Nipo maeneo ya dar es salaam ubungo,
Nauza kuku wa kienyeji mtetea 13000, jogoo ni wakubwa tu kwa 15000. Karibuni.
Wamebaki wachache tu kama 40 hivi
0713419730
Husika na kichwa cha habari kwa anaeitaji kitabu cha ukulima wa vitunguu,mboga zote na matunda na ufugaji wa wanyama tajwa hapo chini anaweza kuniPm bei ni Elfu saba tu {7000/=}kwa kimoja na elfu...
Wana JF
Tunakodisha eneo la biashara lina ukubwa wa heka 2 na Zaidi. Eneo liko mita 500 kutoka barabara ya Bagamoyo. Linafikika kwa barabara ya uhakika. Eneo liko tupu lakini limepimwa na lina...
Ndugu zangu,
Naomba mwongozo nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa mayai na nyama.
Naomba kujua mahitaji muhimu na mambo ya kuzingatia katika ufugaji huo.
Asante sana
Naombeni mnishauri jinsi gani naweza kuitumia gari aina ya Land Rover One Ten kibiashara zaidi...Napatikana Dar.
Gari ni ya kizamani lakini engine ipo poa na body nzuri...Sasa naona kwa...
Wakuu,
Nina mpango wa kununua power tila mpya kabisa hivyo naomba msaada kwa wanaojua bei yake.
Nipo Dodoma, inahitajika haraka iwezekanavyo.
Natanguliza shukrani
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
NI KUTOWEZA KUSHIRIKE TENDO LA NDOA IPASAVYO,NA UKIFIKIA HATUA HII NI LAZIMA UTADHARAULIKA NA KILA MWANAMKE NA HATA WW MWENYEWE UTAJIDHARAU MANA UTAJIONA SI LOLOTE MBELE...
Habari Zenu, Kwa Wenye Mahitaj Ya Vifuatavyo Wanione,
1, Project Write Up And Proposal
2, Busness Plan And Directory
3, Investment Plan
4, Project Proposal And Draft
5, Link With Foreign...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.