Non stop
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 117
- 46
Heshima mbele wanajamvi.
Nina mtaji wa shilingi milioni 10 za kitanzania, nipo Dodoma mjini nafikiria kufungua duka la kuuza marumaru (tiles) na gypsum board. Naombeni ushauri wenu kwa mlio na uzoefu wa biashara hii, je kwa mtaji huo inawezekana kupata mzigo wa kutosha?
Na je upatikanaji wa bidhaa hiyo kutoka kwa agents kuleta Dodoma upoje? Ni marumaru za aina gani na kutoka nchi gani zinatoka zaidi?
Asanteni.
Nina mtaji wa shilingi milioni 10 za kitanzania, nipo Dodoma mjini nafikiria kufungua duka la kuuza marumaru (tiles) na gypsum board. Naombeni ushauri wenu kwa mlio na uzoefu wa biashara hii, je kwa mtaji huo inawezekana kupata mzigo wa kutosha?
Na je upatikanaji wa bidhaa hiyo kutoka kwa agents kuleta Dodoma upoje? Ni marumaru za aina gani na kutoka nchi gani zinatoka zaidi?
Asanteni.