Nahitaji ng'ombe wa kisasa

Nahitaji ng'ombe wa kisasa

Nanoli

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
3,739
Reaction score
5,980
Habari zenu wadau,
Mie niko Mtwara, natafuta ng'ombe wa kisasa wa maziwa,. Nahitaji ng'ombe wawili kwa kuanzia. Kwakua mie ni mjasiliamari ninaejifunza kamtaji kwangu ni 1,600,000 kwa hao ng'ombe wawili na wawe waliopandishwa tayari.
 
mkuu pole kama unaishi karibu na Jimbo katoliki au parokia hebu nenda kawaulize hawa wanakuwaga na miradi ya ngombe wanaweza kukusaidia.
 
Ninao lakin ng,ombe wangu huwa nawauza M1 ambaye tiyar amepandishwa
 
Back
Top Bottom