Wadau ni muda sasa umepita tangu nianze kuomba ushauri juu ya wazo langu la biashara ya viatu na mikoba ya kike hapa songea bila kupata michango ya wadau.
Hadi leo hii maendeleo juu ya...
RIFARO AFRICA ni kampuni mama toka tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO
Kampuni ilipata wazo toka 2011...
Hello, Nipo Mbeya mjini,
Nahitaji nisaidiwe wazo la namna ya kuitumia Noah yangu kibiashara. Bado nzima sana.
Mawazo yangu niwe naenda route ya Mby-dar-mby safari za jioni...tatizo upatikanaji wa...
Habari za mida wakuu,
Kuna kitu naomba kujuzwa kuhusu biashara ya tigopesa na mpesa, mtu anaefanya biashara hii huwa anapata faida gani and on the other side kuna hasara gani? in a simple phrase...
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS Part 15
If you like reading biographies on successful people like I do, youll notice that they all share one driving force. That force drove each...
Kwema?
Naomba wazo lolote lile si bure kama kukosa kabisa wazo. Nina 500,000/- cash, nawaza sana hivi kwa pesa hii kweli niki jibiashara gani naweza fanya kika nitoa kimaisha najua itachukua...
Soko la mbuzi wa rejareja..
WanaJF,
MimI huwa nafuata Mbuzi Handeni. Nilianza na wachache sana, sasa Mungu kanijalia naweza nikaleta hadi 10 au 8.
Sasa natafuta wateja wa rejareja!
habari wadau..
hivi hizi biashara vp? kwa maoni yangu ni kama inamnufaisha manufacture wa hizo bidhaa kumuuzia kinguvu bila sisi kujua..
maaana kuna watu wananishawishi kweli ila kila...
Nataka kuanzisha shirika litakalohusika na masuala ya mazingira. Mm ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya awali kutoka chuo cha hapa hapa nyumbani Tanzania. Naomba ushauri juu ya masuala ya msingi...
wakuu salaam sana
nina nyumba maeneo ya kibamba natarajie baada ya uchaguzi niiezeke .nahitaji
mbao 4x2 na 2x2 hapa naomba mnifahamishe bei na tofauti ya trited na zile za kupaka dudu killer...
naomba kujuzwa mtaji wa kias gan wahitajika kuanza biashara ya asali kutoa kijijin kuleta mjin kama dar, na pia nahitaj kupewa ushaur juu ya hyo biashara na pia nipewe na changamoto ntazokutana...
1246
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula cha kuku, mzalishaji wa vifaranga, msindikaji wa nyama ya kuku, mzalishaji wa mbegu za mahindi, msindikaji wa mahindi, nk ...
Habari,
Kampuni yetu ya Central Park Bees Limited inakuja na Starter KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.