Mtaji wa 500,000, nifanye biashara gani?!

Mtaji wa 500,000, nifanye biashara gani?!

Mhdiwani

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
650
Reaction score
712
Habari zenu wapendwa naamin muwazima wa afya ,, kitu kilichoninya niombe ushauri ni kwamba ninampango wa kuchukua mkopo wa 500,000 sasa hebu nishaurini wadau naweza kuufanyia nn na kuzalisha faida nipo arusha
natanguliza shukran asanten
 
lengo LA ww kuchukua mkopo ni nn hasa??
 
Back
Top Bottom