Msaada: Bei ya Mkonge

Msaada: Bei ya Mkonge

mnoel

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
212
Reaction score
98
Kwa yeyote anayejua bei ya sisal/mkonge USSG per tone au per kg.

Naomba kujuzwa please.

Thanks
 
Nahusika kwa karibu sana na zao la mkonge.

Sasa sijui wewe una uza mkonge au unataka kununua?

Funguka tuwekane sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom