Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,375
- 852
Kwa wana Jf anayefahamu kama naweza kupata chanjo ya ugonjwa wa marek unaosumbua vifaranga vyangu,hili lilinitokea mwaka jana nilipoatamisha kuku zangu 12 wakanipatia vifaranga 112 baada ya wiki 2 wakaanza kulemaa vifaranga 22 na badaye ya wiki 1 vifaranga 16 kati yao walipona na 6 walikufa.Hao waliopona afya yao haikuwa nzuri walionyesha kama kaulemavu fulani na kuonyesha kama mifupa ya miguu kuvimba.
Mwaka huu nilikuwa na mpango wa kutoa vifaranga kama 200 ila nimesita kwa ajili ya huo ugonjwa nikaamua kutoa vifaranga 60 na vifanga 3 wameugua huo ugonjwa na wamepona wote na sasa vifaranga hao na umri wa miez 2 na wanaendelea vizuri japo hao waliougua naona wanatatizo kwenye miguu kama uvimbe wa mifupa.
Hivyo wataalamu wa humu JF naomba msaada kwani makala za humu ndio iliyoniwezesha kuhamasika kufuga kuku wa kienyeji kuinua pato na nigependa kama naweza kupata chanjo hiyo Arusha na naweza kuchanja mwenywe?
Mwaka huu nilikuwa na mpango wa kutoa vifaranga kama 200 ila nimesita kwa ajili ya huo ugonjwa nikaamua kutoa vifaranga 60 na vifanga 3 wameugua huo ugonjwa na wamepona wote na sasa vifaranga hao na umri wa miez 2 na wanaendelea vizuri japo hao waliougua naona wanatatizo kwenye miguu kama uvimbe wa mifupa.
Hivyo wataalamu wa humu JF naomba msaada kwani makala za humu ndio iliyoniwezesha kuhamasika kufuga kuku wa kienyeji kuinua pato na nigependa kama naweza kupata chanjo hiyo Arusha na naweza kuchanja mwenywe?