MBOPOLI
Senior Member
- Aug 12, 2015
- 160
- 27
Mambo vipi hapo!?
Ok mimi nina mpango baada ya uchaguzi nielekee Dar kuhamishia kazi yangu ya ufundi mabomba ya maji. Sasa mimi napenda sana kuwa busy busy kwa hiyo baada ya kufikiria sana nikaona kwamba mchana kazi ya mabomba ,usiku niwe natembelea vijiwe vya madada poa Kimboka, Africa sana, Temeke na kadhalika, niwe nauza machungwa na mipira au kondomu za kike na kiume.
Wewe unaonaje, hii biashara itanilipa au ngoma ngumu?
Ok mimi nina mpango baada ya uchaguzi nielekee Dar kuhamishia kazi yangu ya ufundi mabomba ya maji. Sasa mimi napenda sana kuwa busy busy kwa hiyo baada ya kufikiria sana nikaona kwamba mchana kazi ya mabomba ,usiku niwe natembelea vijiwe vya madada poa Kimboka, Africa sana, Temeke na kadhalika, niwe nauza machungwa na mipira au kondomu za kike na kiume.
Wewe unaonaje, hii biashara itanilipa au ngoma ngumu?