Kilimo cha matunda & na miti kwenye aina hii ya ardhi

Kilimo cha matunda & na miti kwenye aina hii ya ardhi

spray

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
277
Reaction score
241
Hi wanajamvi, kuna kipindi nilinunua eneo langu kubwa baadae nikagundua na kuambiwa kuwa ni eneo linalotuamisha maji, nafikiria sana kuweka kilimo cha matunda na miti, sasa kila nikitaka kupanda aina fulani ya matunda eg papai, matikiti, miti mipine nk,,,wananiambia itakufa mhhh ikabidi kuwa mpole, kwahio nahitaji ushauri kwa wale wazoefu je nipande aina gani ya matunda na aina gani ya miti ili iweze kustawi hilo eneo lenye kutuamisha maji....?/

Wabeja sana
 
spray
MKUU SALAAMU

NAOMBA KUJUA HUO UDONGO WA HILO ENEO NI WA AINA GANI, LABDA JE NI MFINYANZI(MWEUSI UNATUAMISHA MAJI, NA WAKATI WA JUA UNAPATA NYUFA-CRACK??), AU NI TIFUTIFU ULE MWEKUNDU NA UKO LOOSE HIVI...KWA MAANA KWAMBA HUENDA SHAMBA LIKO BONDENI SANA NA LABDA MVUA ZIKINYESHA MAJI YANAJIKUSANYA HAPO??

KUTEGEMEA NA AINA YA UTONGO NDIO INAWEZA KUWA RAHISI KUKUSHAURI MITI GANI UPANDE, MAANA KUTUAMISHA MAJI NI JAMBO MOJA NA AINA YA UDONGO NI JAMBO LINGINE

KWA MATUNDA KAMA MATIKITI, YANAPEDNA MAJI PALE MWANZONI LAKINI MATUNDA YAKISHA KUJA YAKIMALIZA WIKI 2 HADI 3 INABIDI UANZA KUPUNGUZA MAJI

KUNA MITI LABDA KAMA MIKARATUSI (EUCALYPTUS) HIYO INAWEZA KUMEA HIZO SEHEMU LAKINI ITATEGEMEA NA AINA YA UDONGO WA ENEO PIA
 
Asante sana,

Ni kama upo loose hivi una mchanga mchanga kiasi na rangi ni kama kijivu hivi kwambaali,ila si mfinyanzi, wakati wa mvua maji yanakuwepokuwepo hivi, wakazi wa eneo hilo wanalima lima mpunga kiasi


spray
MKUU SALAAMU

NAOMBA KUJUA HUO UDONGO WA HILO ENEO NI WA AINA GANI, LABDA JE NI MFINYANZI(MWEUSI UNATUAMISHA MAJI, NA WAKATI WA JUA UNAPATA NYUFA-CRACK??), AU NI TIFUTIFU ULE MWEKUNDU NA UKO LOOSE HIVI...KWA MAANA KWAMBA HUENDA SHAMBA LIKO BONDENI SANA NA LABDA MVUA ZIKINYESHA MAJI YANAJIKUSANYA HAPO??

KUTEGEMEA NA AINA YA UTONGO NDIO INAWEZA KUWA RAHISI KUKUSHAURI MITI GANI UPANDE, MAANA KUTUAMISHA MAJI NI JAMBO MOJA NA AINA YA UDONGO NI JAMBO LINGINE

KWA MATUNDA KAMA MATIKITI, YANAPEDNA MAJI PALE MWANZONI LAKINI MATUNDA YAKISHA KUJA YAKIMALIZA WIKI 2 HADI 3 INABIDI UANZA KUPUNGUZA MAJI

KUNA MITI LABDA KAMA MIKARATUSI (EUCALYPTUS) HIYO INAWEZA KUMEA HIZO SEHEMU LAKINI ITATEGEMEA NA AINA YA UDONGO WA ENEO PIA
 
Back
Top Bottom