Msaada kidogo

Msaada kidogo

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
wadau Mimi naishi Dar es salaam nina ndoto za kua mfanyabiashara.
swali nauliza zipi njia simple za kuchukua mkopo hasa pale unapokua huna assets?
 
Njia nyepesi ni kuchukua mkopo huo toka kwa rafiki yako,ndugu yako au hata jirani yako.Lakini tambua kuwa hakuna mtu ambaye atakupa mkopo kwa maneno tu.Inabidi ujipange unataka mkopo wa Tsh ngapi? Na utaurudishaje? Na ni biashara gani unayotaka kufanya n.k

Kopa kwa sababu maalum.Na ukiona hiyo ni ngumu basi tafuta asset ili ukope kwenye taasisi za fedha.
Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom