hilo shamba liko mkoa gani!?
maeneo ya karibu wanapanda miti aina gani?
kawaida kama ni miti ya mbao aina ya pines distance kati ya mti mmoja na mwingine ni 1m.
hekali moja inaweza kuwa na miti 500 isizidi 700
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.