Ningekuja ila slogan ulizotumia mmh hapana!!
sepa!!
ni kwa walio serious tu!
Bora wakulima vijijini wanaungana kwenye biashara na kilimo kwa ujumla,ila Sio vijana wa DAR.
Full usanii,full utapeli.maisha ya mkato,kukatishana tamaa nyie kwa nyie,kujua kwingiii,na kujitoa kwenye kikundi ndio zenu.
Kuna kesi moja,mama mmoja kawachangisha wenzie kwenye kikundi cha mkopo,hatimae kasepa na pesa yoote.
Yote kwa yote ni wazo zuri