kwa wajasiriamali wenzetu

fukunyungu

JF-Expert Member
May 16, 2011
717
194
Habari ya mwisho WA wiki wana jukwaa, poleni Sana na majukumu ya kila siku. Sasa kilichonileta hapa Ni kwamba Mimi Nina nyumba nahitaji mkopo kwenye taasisi za fedha, sasa kila nikienda wananiambia lazima niwe na biashara ndio nitapewa mkopo, dhamana wameikubalihaina tatizo, tatizo lipo kwenye biashara hapo, sasa basi kea mtu yoyote mwenyebiashara hata kama hana tin au leseni tuwasiliane ili tuone tunawezaje kushirikiana ili tuweze kupata mkopo kutoka kwenye taasisi za fedha zinazotambulika kisheria na zenye angalau riba sustainable, kuhusu tin na leseni vinapatikana haraka tu....asanteni tujumuike
 
Ni wazo zuri fuku ila kuwa makini maana biashara nyingi zinahamishika na nyumba yako ipo tu...so make sure atakaejitokeza anaeleweka maana utakuja kuuziwa nyumba ukiwa unaangalia. ..nina uzoefu kwenye hili. ..be careful
 
Ni wazo zuri fuku ila kuwa makini maana biashara nyingi zinahamishika na nyumba yako ipo tu...so make sure atakaejitokeza anaeleweka maana utakuja kuuziwa nyumba ukiwa unaangalia. ..nina uzoefu kwenye hili. ..be careful

, naelewa Sana bao la mkono, asante kwa ushauri wako
 
Njoon basi wakuu tushauriane

Uasiwe na haraka utapigwa,mjini hapa.
We umepost muda huu tena leo then unataka upate ufumbuzi leo leo.

Mfumo wa kuwa na nyumba na kukopa kwa biashara ya mwenzio lazima utaliwa tu.
Mie marehem Baba alilizwa 50m,alilipa hadi tunakuwa wakubwa tena alimkopea Mama yetu mdogo then akasepa.
Huna uwezo wewe wa kuifanya biashara isihame,na mbaya zaidi Bank hupenda kukushauri uwe na biashara ila ukiishakopa tu hawaangalii teeena biashara ila wao wanaangalia dhamana tu hapo lao linakuwa limetimia.
 
Uasiwe na haraka utapigwa,mjini hapa.
We umepost muda huu tena leo then unataka upate ufumbuzi leo leo.

Mfumo wa kuwa na nyumba na kukopa kwa biashara ya mwenzio lazima utaliwa tu.
Mie marehem Baba alilizwa 50m,alilipa hadi tunakuwa wakubwa tena alimkopea Mama yetu mdogo then akasepa.
Huna uwezo wewe wa kuifanya biashara isihame,na mbaya zaidi Bank hupenda kukushauri uwe na biashara ila ukiishakopa tu hawaangalii teeena biashara ila wao wanaangalia dhamana tu hapo lao linakuwa limetimia.

he he he
 
Back
Top Bottom