Gabriel kissaka
Member
- Oct 3, 2015
- 25
- 1
Ndugu wana JF. Nauza asali ya nyuki wakubwa ila soko bado linanisumbua naombeni msaada wenu. Nauza kuanzia ujazo wa lita moja kwa sh 10000 pia ninauza jumla dum la lita ishirini kwa sh 160000. Nipo sinza karibu na meeda. Mawasiliano 0674003082/0766849951