Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Naombeni kwa walio na uzoef wa ujenzi wa mabanda ya kuku. Nataka nifuge kuku wa kienyeji 80-100. Naombeni design ya banda ya kuku inayofaa kwa idadi hyoo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kipindi cha Baba Wa Taifa miradi mingi ilianzishwa. Vipindi vilivyofuata ubinafsishaji ulifuata. Mali nyingi zilipewa waekezaji na hazikuendelezwa tena na kufanya uchumi udorore. Baadhi ya miradi...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Salamu kwenu wana jamvi! Ninataka kutumia maji ya mto uliokaribu na shamba langu hapa kijijini kwetu. Ninapata usumbufu toka kwa watendaji kwa madai ya kusimamia mazingira! Naomba mwenye uelewa wa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Sasa tatizo la aridhi kati ya wakulima na wafugaji limekuwa kubwa karibu mikoa yote ya Tanzania. Wananchi wanapoteza maisha na wengine wanakuwa walemavu,je serikali ina utaratibu gani kuepesha...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
MBEGU BORA ZA MBAAZI ZIMNAPATIKANA SASA... QUALITY PIGEON PEAS SEEDS AVAILABLE NOW Habari, Kwa wale wanahitaji mbegu bora za Mbaazi (zimethibitishwa na TOSCI) sasa mbegu zinapatikana Dar...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Hizi ni zama za sumu ambapo bidhaa za kawaida zinazotumiwa majumbani zinaweza kutuua.Ni zama ambazo wafanyibiashara wametushawishi kwamba bidhaa nyingi za tunazotumia kila siku kama...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, samahani nataka kufuga kuku wa mayai 200, hivyo naomba msaada ni wapi naweza pata vifaranga. Na je ni aina gani ya vifaranga wazuri. Mimi naishi Boko Dsm. Natanguluza shukrani .
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani kuna jamaa yangu anaangaika na jinsi ya kupata vifaranga bora visivyosumbua. Yeye amekuwa akinunua vifaranga toka sehemu makampuni mabli mbali lakini mara zote ( kama 3 hivi) ama vinakufa...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Ndugu wanajamvi, Nimepata Ardhi maeneo ya Mkuranga juction ya kuelekea Mkuranga mjini ukipitia njia ya Fremu Kumi Kivule, Nataka kufanya kilimo maeneo yale lakini changamoto kubwa, ni kwamba eneo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema wilayani Ruangwa Mkoani Lindi. zao la mbaazi lashuka bei kutoka sh.1400 Hadi kufikia sh 700 kwa kg1. Habari mbaya kwa sisi Wakulima.
2 Reactions
117 Replies
17K Views
Habarini wadau, Naombeni utalaamu kidogo kwenye suala zima la kilimo cha tikiti. Huwa inashauriwa sana pindi matunda yanapotoka kuacha matunda matatu tu ili yaweze kua makubwa na yauzike vizuri...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini wadau Nimejaribu kutafuta sources za hii kitu kwa wakulima wa tanzania lkn naona taarifa ni hafifu sana, nataka kufanya lakini nikusanye taarifa kwanza, naombeni mawazo yenu kwa wazoefu...
1 Reactions
0 Replies
6K Views
Mara nyingi unapotaka kumuachisha kuku vifaranga au unapotaka kuchukua mayai ya kuku anaejiandaa kutamia kuku huwa mgumu kusahau na huendelea kulalia ingawa umemuondolea mayai. Sasa chukua ndoo...
4 Reactions
46 Replies
10K Views
Habari, Nina Kuku Wangu Ambao Wameanza Kutaga Hivi Karibu, Leo Asubuhi Nimekuta Wamemuua Mwenzao Na Kumdonoa Mkiani, Nimewapa Multivitamin Hivi Karibuni Na Kuwakata Midomo, Sijui Tatizo Ni Nini...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habar wadau mimi ni mdau mkubwa wa kilimo na mifugo na niko mbioni kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji ila nimevutiwa na kuku wa kienyeji wenye asili ya India wanaitwa kroiler. Sasa naomba kwa...
0 Reactions
15 Replies
56K Views
Habari wanajamii forum? Naombeni msaada kujua namna ya ufugaji wa kuku wa nyama. Nikiwa namaanisha vyakula wanavyotakiwa kula kwa kila stage, chanjo pamoja na madawa..ahsanteni.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
MBINU ZA KUKINGA KUKU DHIDI YA MAGONJWA Tunafahamu kwamba magonjwa ndio chanzo kikubwa cha kukatisha ndoto za mfugaji kutokana na ughali wa bei za dawa au vifo vinavyosababishwa na magonjwa hayo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ndugu habari zenu, kama unalima pilipili mbuzi (SIO HOHO) kuna mnunuzi piga 0755103405
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu Tikiti linenitia hasara ya jumla ya mil 1.4. Yaani Nigel hudumia sana lakini mwishowe limeniumiza sasa nalima Bamia so naomba kujua Soko la Bamia na ushauri tafadhari Nimemaliza karibuni...
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu! Mimi ni kijana wa kiume nina bachelor degree of science in food science and technology nimemaliza chuo mwaka jana (2015), nimetafuta kazi sehemu mbalimbali lakini mpaka sasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…