Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,528
- 1,920
Jamani kuna jamaa yangu anaangaika na jinsi ya kupata vifaranga bora visivyosumbua. Yeye amekuwa akinunua vifaranga toka sehemu makampuni mabli mbali lakini mara zote ( kama 3 hivi) ama vinakufa sana ama vinakuwa havikui vizuri. Naomba mwenye uzoefu ajaribu kusaidia hapa ni kampuni gani hasa inayotoa vifaranga bora? na wenye bei inayoeleweka, nasikia inter-chik kimoja ni Tshs 1,500/= wakati wengine kama 1,200/= hivi. Vipi vifaranga vya Kibo kuna mtu anauzoefu navyo?, maana kuna tetesi kuwa vinasumbua kidogo, ingawa bei ni nzuri. Na pia nasikia kuna vifaranga toka Kenya, Je ni vizuri, je vyapatikana wapi na Tshs ngapi kimoja.
Natanguliza shukrani za dhati
Natanguliza shukrani za dhati