fuvu la paka
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 133
- 76
Wakuu Tikiti linenitia hasara ya jumla ya mil 1.4.
Yaani Nigel hudumia sana lakini mwishowe limeniumiza sasa nalima Bamia so naomba kujua Soko la Bamia na ushauri tafadhari
Nimemaliza karibuni
Daaa Nina hasira sana
Yaani Nigel hudumia sana lakini mwishowe limeniumiza sasa nalima Bamia so naomba kujua Soko la Bamia na ushauri tafadhari
Nimemaliza karibuni
Daaa Nina hasira sana