Msaada kuhusu ufugaji wa kuku wa nyama

PreciousLaddy

New Member
Aug 23, 2016
4
1
Habari wanajamii forum?
Naombeni msaada kujua namna ya ufugaji wa kuku wa nyama. Nikiwa namaanisha vyakula wanavyotakiwa kula kwa kila stage, chanjo pamoja na madawa..ahsanteni.
 
Habari wanajamii forum?
Naombeni msaada kujua namna ya ufugaji wa kuku wa nyama. Nikiwa namaanisha vyakula wanavyotakiwa kula kwa kila stage, chanjo pamoja na madawa..ahsanteni.
Chakula starter siju ya 1 hadi 14 siku 15-25 grower siku 26-35 finisher ukinunua chakula kizuri watakua vizuri utauza kuanzia siku28 ukitumia chakula kibaya chini ya kiwango utauza siku 60 chanjo na dawa siku 1_5 wapewe anticox vitamins pia kuna chanjo ya newcastle na gumboro hii utapewa maelekezo dukani utakaponunua ila ni kuanzia siku ya 7
 
Chakula starter siju ya 1 hadi 14 siku 15-25 grower siku 26-35 finisher ukinunua chakula kizuri watakua vizuri utauza kuanzia siku28 ukitumia chakula kibaya chini ya kiwango utauza siku 60 chanjo na dawa siku 1_5 wapewe anticox vitamins pia kuna chanjo ya newcastle na gumboro hii utapewa maelekezo dukani utakaponunua ila ni kuanzia siku ya 7
na vipi kuhusu faida kwa kuku 300 maana mi hesabu ni ziro
 
Kama kuna mtu anafaham bei zao kwa mtu anaetaka kununua bi shngp hao kuku wa nyama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom