Nelly Mtengwa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 371
- 417
Mara nyingi unapotaka kumuachisha kuku vifaranga au unapotaka kuchukua mayai ya kuku anaejiandaa kutamia kuku huwa mgumu kusahau na huendelea kulalia ingawa umemuondolea mayai. Sasa chukua ndoo iliyojaa maji, mshike kuku husika kisha mzamishe kwenye maji kwa sekunde mbili kisha muachie aende! Baada ya kumuachia utaona kuku anatoka spidi kama vile kachanganyikiwa, na hatakumbuka watoto wala mayai. Baada ya muda mfupi kuku ataanza kupandwa tena!!
NB: Kuku wengine hurudiwa na kumbukumbu baada ya muda!!!
NB: Kuku wengine hurudiwa na kumbukumbu baada ya muda!!!