Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,700
Habari zenu ndugu zangu? natumai nyote muwazima.
Kama kichwa kinavyojieleza, kuna kampuni nimebahatika kufanya mawasiliano nayo ina uhitaji mkubwa wa mayai.
Zinahitajika tray 2000 kwa siku ,mnaweza kujikusanya hata wafugaji kadhaa mradi tufikishe hizo tray zinazohitajika, kama una uwezo wa tray hata 50 kwa siku au zaidi tunaweza kuunganisha nguvu tukafanikisha hili.
Kampuni ipo Dar es salaam hivyo ni vizuri kama utakua karibu na hayo maeneo.
Kama kichwa kinavyojieleza, kuna kampuni nimebahatika kufanya mawasiliano nayo ina uhitaji mkubwa wa mayai.
Zinahitajika tray 2000 kwa siku ,mnaweza kujikusanya hata wafugaji kadhaa mradi tufikishe hizo tray zinazohitajika, kama una uwezo wa tray hata 50 kwa siku au zaidi tunaweza kuunganisha nguvu tukafanikisha hili.
Kampuni ipo Dar es salaam hivyo ni vizuri kama utakua karibu na hayo maeneo.