Shamba lina magadi, nipande mazao gani?

Shamba lina magadi, nipande mazao gani?

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,578
habari wandungu
mwaka jana nilipewa shamba kama zawadi ila sasa kiukweli lina mgadi kiasi kwamba sijui zao la kupanda katika shamba hilooo .
kwa mtu mtaalamu naomba ushauri kwa hillo plz. nipande zao gani katika shamba hilo
asante
 
Anza kuchimba na kuchemsha magadi hiyo no plan pia
 
Panda mbaazi au miti ya matunda huwa inastahimili magadi...
 
Udongo si kitu muhimu kwa ukuaji wa mmea, kama lengo si kulima organically, tandaza hata pumba za Mchele Kisha lima.
 
Back
Top Bottom