Habari zenu wakuu
kwa yeyote mwenye mahindi naitaji tani 30 napatikana dar ukiwa nayo nipigie kwa namba 0755405027,0715405027.
Unanunua kwa TZSH ngapi per KG or Tn?
Kule kwetu Sumbawanga kwnye bohari ya mkoa mahindi hadi ya mwaka juzi bado yapo kwenye maghala,please fika Rukwa hutajuta na utayapata kwa bei nafuu sana
Habari zenu wakuu
kwa yeyote mwenye mahindi naitaji tani 30 napatikana dar ukiwa nayo nipigie kwa namba 0755405027,0715405027.