Nahitaji mahindi tani 30

nguo

Member
Apr 12, 2012
28
7
Habari zenu wakuu
kwa yeyote mwenye mahindi naitaji tani 30 napatikana dar ukiwa nayo nipigie kwa namba 0755405027,0715405027.
 
Kule kwetu Sumbawanga kwnye bohari ya mkoa mahindi hadi ya mwaka juzi bado yapo kwenye maghala,please fika Rukwa hutajuta na utayapata kwa bei nafuu sana
 
Kule kwetu Sumbawanga kwnye bohari ya mkoa mahindi hadi ya mwaka juzi bado yapo kwenye maghala,please fika Rukwa hutajuta na utayapata kwa bei nafuu sana

Na wewe hujataja bei, bei nafuu ndio sh ngapi mkuu?
 
Back
Top Bottom