Nauliza dawa/sumu ya wadudu wanaotambaa

Nauliza dawa/sumu ya wadudu wanaotambaa

GAS STATE

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
1,770
Reaction score
959
Wadau assalam,

Nadhani Ijumaat imekaa sawa,

Nauliza dawa kali ya wadudu wanaotambaa kama vile mende, sisimizi,kunguni, chawa na mchwa.

Tafadhali anaejuwa anijuze jina, pia hata zinakopatikana kwa hapa Dar.
 
Back
Top Bottom