Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Sent using Jamii Forums mobile app
9 Reactions
205 Replies
41K Views
Wengi tunakuwa na malengo mazuri ya kimaendeleo hasa ya kulima mazao fulani, lakini tunakwamishwa na shughuli mbadala ambazo nyingi ya hizo ni zile za ofisini..kwa kuona hilo CHALAJI COMPANY...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za leo, Natafuta formula za chakula cha kuku aina zote. Mwenye kufahamu anisaidie. Namba 0654000253
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wana Jf.... CHAKULA CHA KUKU MALIGHAFI 1.MAHINDI YALIYOPARAZWA KILO 25 2.PUMBA YA MAHINDI KILO 10. 3.MASHUDU YA PAMBA KILO 5 4.MASHUDU YA ALIZETI KILO 5 5.DAGAA KILO 5 6. CHOKAA KILO 1...
5 Reactions
23 Replies
18K Views
Habarini Wakuu, Tafadhali naomba mtaalamu anayejua namna ya kutengeneza chakula cha kukuza kuku haraka (Grower mash) aweze kunielekeza. Ni vitu gani huwa vinahitajika ili kuchanganya mpaka...
2 Reactions
7 Replies
10K Views
Kilimo ni sekta ya uzalishaji ambayo huchangia kukuza pato na kuimarisha uchumi la taifa. Tanzania ikiwa ni nchi inayotegemea kilimo kama uti wa mgongo wa uchumi wake, mipango na mikakati...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu ningependa kuchukua taarifa hii kuwatakia siku njema pia ningeomba msaada kidogo kuhusu biashara yakufanya mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu sasa nina ela ya mtaji 250, 000 je nifanye...
1 Reactions
1 Replies
902 Views
Wanakua na kufikia uzito wa kilo 4 UJASIRIAMALI ni jambo jema katika mapambano dhidi ya umasikini, lakini pia ili kuweza kuwa mjasiriamali, yanahitajika maarifa ya ziada, ikiwamo ubunifu katika...
12 Reactions
38 Replies
62K Views
Jamani wanajamiii ninavifaranga vya kuku wa kienyeji. Navifuga huu ni mwezi wapili tokea vitotolewe lakini sasa kunaugonjwa umejitokeza ndugu zanguni ugonjwa huu umewafanya wanakua kama wamekunywa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nina changamoto ya jinsi ya kupima mbolea ili niweze kuhakikisha ubora wake ie kujua kama imeharibika au la. Nahitaji kupima mbolea ya NPK na UREA. Msaada please.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wafugaji wenzangu natumai nyote ni wazima. Kama mada inavyojieleza hapo juu,nia hasa nikupeana ushauri juu ya ufugaji wetu wa kuku,na kuambizana jinsi gani ya kupambana na maradhi...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa wale wafugaji wa kuku.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
WAHI OFA YAKO KABLA HAIJAISHA Habari wana kikundi, sisi tunaitwa Tawa Water Proffesional ni wachimbaji wa visima vya maji iwe kwa ajili ya umwagiliaji mashambani au kwa matumizi ya kawaida...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wajasiriamali, Mimi ni mfugaji wa kuku wa mayai (Layers) . Kuku wangu wana mwaka na miezi miwili. Nataka mpaka sasa wanataga asilimia 80% tu. Nina mpango wa kuwaondoa kuku...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Vitu muhim vya kuzingatia kabla hujanunua vifaranga vya kuku 1)nunua vifaranga kutoka chanzo kinacho aminika. Kununua vifaranga holela mitaani ni hatari sana wengi unakuta wameambukizwa magonjwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa! Rejea kichwa hapo juu! Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo...
4 Reactions
138 Replies
36K Views
Jamani nina majunia 50 ya dengu naomba kujua soko linakopatikana na bei yake ya jumla, Huo mzigo uko Mkoa wa Mara kwa hiyo kama unaupdate zozote nijjlishe
1 Reactions
5 Replies
5K Views
  • Closed
KIONGOZI SORRY KWA KUDELAY KUKUJIBU. HIKI KITUNGUU SAUMU...SINA TAARIFA NACHO NASKIA TU MTAANI WANASEMA KINALIPA, BEI NZURI ETC?/.. LAKINI WAPO WANAOSEMA NI KILIMO CHA KUCHOSHA SANA MAANA HASA...
0 Reactions
736 Replies
387K Views
MiMI nIpo Ndanda hapa hivi sasa Hakuna jipya kuhusu malipo ya korosho ya mnada wa kwanza 2017/2018, wewe uko kijijini gani wilayani Masasi na nini kinaendelea au viongozi wanasemaje kuhusu hilo?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Na Dr Khalfan, Farmas cntre Ugonjwa huu hutokea mara kwa mara kwa kuku wa umri wowote. Ugonjwa huu husababisha vifo vingi ukiingia(flock motality) na vifo hivi hufikia hadi 100% ya kuku ulio nao ...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…