Wakulima wa korosho wilayani Masasi

Wakulima wa korosho wilayani Masasi

rettyy

Member
Joined
Nov 7, 2017
Posts
73
Reaction score
37
MiMI nIpo Ndanda hapa hivi sasa Hakuna jipya kuhusu malipo ya korosho ya mnada wa kwanza 2017/2018, wewe uko kijijini gani wilayani Masasi na nini kinaendelea au viongozi wanasemaje kuhusu hilo?
 
Mi npo Ndanda hapa hivi sasa akuna jipya kuhusu malipo ya korosho ya mnada wa kwanza 2017/2018, wewe uko kijijini gani wilayani Masasi na nini kinaendelea au viongozi wanasemaje kuhusu hilo?
Dash
Poleni sana
Wakulima nachingwea/ruangwa walishalipwa mnada wa kwanza wa tarehe 22/10/2017
Uko si ulifanyika tar 20 ya mwezi huo imekuwaje?
 
Utalipwa tuu ndugu au unataka kutusumbua maeneo ya kibo. Haaaa
 
Mi npo Ndanda hapa hivi sasa akuna jipya kuhusu malipo ya korosho ya mnada wa kwanza 2017/2018, wewe uko kijijini gani wilayani Masasi na nini kinaendelea au viongozi wanasemaje kuhusu hilo?
Wape Hai mwena day mkuu..
 
Mi npo Ndanda hapa hivi sasa akuna jipya kuhusu malipo ya korosho ya mnada wa kwanza 2017/2018, wewe uko kijijini gani wilayani Masasi na nini kinaendelea au viongozi wanasemaje kuhusu hilo?
Mku Poleni. Wewe upo hapo Mwena
 
Mku Poleni. Ww upo hapo mwena
Tukisema hii nchi serikali yake imeshindwa kuwajali na kuwatendea mema RAIA zake hamiamini. Tuendelee kupiga makofi na kuwasifia watawala lkn cha moto tunakiona
 
Back
Top Bottom