Una gunia ngapi?Amen bado cjalipata wakuu
Vipi mkuu uliuza?Jamani nina majunia 50 ya dengu naomba kujua soko linakopatikana na bei yake ya jumla,
Huo mzigo uko Mkoa wa Mara kwa hiyo kama unaupdate zozote nijjlishe
Nita kupm namba ya mnunuzi wa dengu wao wananunua n'a Ku export.....Amen bado cjalipata wakuu