Fursa kwa wafugaji wa kuku

Fursa kwa wafugaji wa kuku

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,139
Kwa wale wafugaji wa kuku.
IMG-20171012-WA0034.jpg
 
Usifikiri huwezi kufuga mifugo, bali hujahamasishwa tu. Inabidi nikukaribishe huku kwetu uone akina mama wenzako wanavyofuga, wanakakata majani ya kulisha mifugo hadi kuwazalisha ng'ombe wanaweza.
Nitakuja December
 
Naombeni Mwenye mfano wa andiko la mchanganuo wa kuanzisha ufugaji kuku wa kisasa anisaidie
 
Habali za mida ndugu zangu, kuna kitabu nilikiona humu ndani kinaitwa RAMANI kinaekezea namna ya ufugaj wa kuku kwaujumla, leo siku ya tatu natafuta lakin hakuna mafanikio.
Naomba msaada wenu jaman
0769618681 au 0656994608
 
Back
Top Bottom