farmersdesk
Senior Member
- May 26, 2012
- 164
- 120
Vitu muhim vya kuzingatia kabla hujanunua vifaranga vya kuku
1)nunua vifaranga kutoka chanzo kinacho aminika. Kununua vifaranga holela mitaani ni hatari sana wengi unakuta wameambukizwa magonjwa hasa (transovario diseases) kama fowl typhoid. wengine hawawapi chanjo ile ya kwanza (maresks vaccine) ambapo sheria ya hatchery inawataka wamiliki wa hatchery wote wawachanje vifaranga siku ya kwanza chanjo ya mareks(mahepe) kabla hajaunza vifaranga wao.
2)andaa eneo la kulelea vifaranga (brooding area).eneo hilo lazima liwe na joto lakutosha.
3)kumbuka chanjo ni muhimu kwa vifaranga wako. Usipowachanja utakua unajiandaa kupata hasara kubwa. Chanzo zipo nyingi. Siku ya saba inabidi uwape chanjo ya mdondo (newcastle) wape kuku wako streesvita baada ya chanjo. Siku ya kumi na nne wape Gumboro(infectious bursa disease) usisahau kuwapa stress vita baada ya chanjo.
Natanguliza shukrani
Kwa ushauri na maswali juu ya ufugaji wakuku na wanyama wengine usisite nitafuta.
Dr Khalfan. 0752367114
Au kama unaweza fika Ilala amana
Farmas centre. Ulizia Dr Khalfan.
1)nunua vifaranga kutoka chanzo kinacho aminika. Kununua vifaranga holela mitaani ni hatari sana wengi unakuta wameambukizwa magonjwa hasa (transovario diseases) kama fowl typhoid. wengine hawawapi chanjo ile ya kwanza (maresks vaccine) ambapo sheria ya hatchery inawataka wamiliki wa hatchery wote wawachanje vifaranga siku ya kwanza chanjo ya mareks(mahepe) kabla hajaunza vifaranga wao.
2)andaa eneo la kulelea vifaranga (brooding area).eneo hilo lazima liwe na joto lakutosha.
3)kumbuka chanjo ni muhimu kwa vifaranga wako. Usipowachanja utakua unajiandaa kupata hasara kubwa. Chanzo zipo nyingi. Siku ya saba inabidi uwape chanjo ya mdondo (newcastle) wape kuku wako streesvita baada ya chanjo. Siku ya kumi na nne wape Gumboro(infectious bursa disease) usisahau kuwapa stress vita baada ya chanjo.
Natanguliza shukrani
Kwa ushauri na maswali juu ya ufugaji wakuku na wanyama wengine usisite nitafuta.
Dr Khalfan. 0752367114
Au kama unaweza fika Ilala amana
Farmas centre. Ulizia Dr Khalfan.