Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakulima watalima vipi kipindi hiki mbolea ambayo tulinunua kwa elfu 60 Sasa imefikia elf 95 laki mpaka laki na ishirini. Sasa najiuliza itakuwaje kama Sasa hivi gunia la mahindi kwa eneo...
13 Reactions
60 Replies
7K Views
Habari waJF, Kwa wale wafugaji wenzangu wa mkoa wa Kagera na mikoa jirani sasa unaweza kupata mbegu za Azolla zenye ubora unaohitajika kwa bei rafiki kabisa. Tuwasiliane kupitia namba...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Napatikana Arusha, shamba liko maeneo ya Nduruma. Shamba liko full drip kwa ajili ya irrigation nahitaji mtu tutakayeingia ubia tufanye kazi ya kilimo pamoja . Tunatumia diesel kujaza maji kwenye...
6 Reactions
107 Replies
15K Views
Wakuu nina swali kuhusu utengenezaji wa mizinga ya nyuki. Mzinga in lazima utengenezwe kwa mbao au unaweza kutengenezwa pia kwa material nyingine kama plastic?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna mtazamo wa watu wengi sana kuhusiana na nyuki lakini kwa kifupi nataka tujifunze mambo machache kuhusu hawa wadudu na umuhimu wao sana katika muendelezo wa jamii ya mimea mbali mbali...
4 Reactions
0 Replies
2K Views
Iko hivi. Ninapump maji kutoka chini yanajaa kwenye tank kubwa nililolijenga . sasa nikitaka maji yanayotoka kwenye tank kuyapeleka shambani yawe na pressure, nimeshauriwa kutafuta pump ndogo za...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama binadamu inabidi atunzwe au ajitunze kuendelea kuwa hai ndivyo hivyo hivyo ardhi inahitaji matunzo kuweza kuwa hai, uzalishaji mzuri wa mazao katika eneo lako ulilolima ni ishara ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Mazao bora hutegemea sana kilimo bora Unapoongelea kilimo bora huwezi kuacha kuongelea uandaaji wa shamba,upandaji wa shamba na utunzaji wa shamba bora ukitaka mazao yako yawe bora zingatia sana...
1 Reactions
4 Replies
956 Views
Natarajia wakuu mko salama kabisa, Je ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori kwa wingi au wapi panaweza limwa macadamia nuts kwa wingi, yaani karanga pori, natangulia...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimefuga Sungura kwa miezi saiz ya vitatu lakini kila wanapozaa watoto huda Mars tu wanapochangamka na hawajaonyesha dalili za mgonjwa hivi tatizo hasa ni nini mana natumia nguvu nyingi lakini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wadau! Naomba kufahamu pesa tajwa hapo juu kama inatosha kufuga mbuzi. Sins hata banda nina kiwanja tu! Maoni yenu ndiyo mafanikio yangu
3 Reactions
47 Replies
23K Views
Naomba kufahamishwa je naweza kuendelea kupiga booster ata baada ya mahindi kutoa mbelewele na je kuna madhara yeyote katika matumizi ya booster natanguliza shukurani
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu, Mbwa Nilikuwa nao watatu ila cha ajabu wawili wamekufa jana kwa wakati mmoja, nimewazika leo na huyu mmoja aliebaki nae ni hivyo hata hatikisiki na hana nguvu za kusimama. Dalili zao wote...
8 Reactions
97 Replies
10K Views
Wakuu kwema? Hili zao la vanilla nimeona linapigiwa chapuo sana hasa kwenye bei yake nasikia ipo juu sana hadi kufikia usd 500 kwa kilo. Je ni kweli? Kwa wadau wanaohusika na ulimaji au wenye...
2 Reactions
39 Replies
10K Views
Mwenye utaalamu wa ufugaji bata mzinga na masoko yake, tafadhali naomba elimu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Poleni na shughuli za kuyatafuta maisha. Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya wote wanaotaka kujua lolote kuhusu nyuki na mazao yake,tujadili hapa kwa kina kuhusu masuala ya nyuki. Mimi nina uzoefu...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari, Naomba ushauri kwa kuvuta nyuki kwenye mzinga. Najifunza ufugaji nyuki na nimejenga mzinga mdogo wa kama futi2 kwa 2. Nlishauriwa nichome nnta na nimefanya hivo wiki ya pili sasa sioni...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wananchi wenzangu, nimeazimia kulima shamba lakini nimeona hili ni jukwaa husika kwa hizi habari za kilimo sasa naomba ushauri kwa miezi hii ni mazao gani ambayo naweza kufanikiwa nikilima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina Kobe lakini sifaham biashara yake ntaipata wapi. Inawezkana. Poor connection niliokua nayo. Kam kuna connection za kuuza kobe tujuzaje au biashara hizi ni za nadharua
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wadau. Mwaka jana kulikuwa na taharuki juu ya uendeshwaji ya biashara ya Mr. Kuku mpaka kupelekea kushtakiwa kwa kosa la upatu na kupelekea wawekezaji wengi kupoteza fedha zao. Mwisho wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom