Naomba msaada jinsi ya ku Unlock modem

Naomba msaada jinsi ya ku Unlock modem

Naomba maelekezo namna ya ku unlock modem
  • Je modem yako ni ipi ? ZTE au HUAWEI,
  • Model ipi? Je ni MF190, E303, K3772 au e173
Angalia sehemu ya kuwekea laini ya hiyo modem, kuna hayo maelezo.
 
  • Je modem yako ni ipi ? ZTE au HUAWEI,
  • Model ipi? Je ni MF190, E303, K3772 au e173
Angalia sehemu ya kuwekea laini ya hiyo modem, kuna hayo maelezo.
Mwl.ni ya Huawei ya t...
 
Mwl.ni ya Huawei ya t...
  • Hizi huwei za tiGo zipo za aina TATU E303u, E303s [ Hizi ni za zamani ] , Pia kuna hizi mpya E303H
  • Je modem yako ni ipi kati ya hizo model tajwa,
  • Angalia sehemu ya kuwekea laini kuna sticker isome na sema ,kiukamilifu modem yako ni ipi?
E303 HUAWEI MODERM msaada kaka
  • Je ni huawei ipi E303s au E303H au ni E303 hiLink
  • Kuna njia tofauti ya ku_unlock kwa kila aina ya modem
 
  • Hizi huwei za tiGo zipo za aina TATU E303u, E303s [ Hizi ni za zamani ] , Pia kuna hizi mpya E303H
  • Je modem yako ni ipi kati ya hizo model tajwa,
  • Angalia sehemu ya kuwekea laini kuna sticker isome na sema ,kiukamilifu modem yako ni ipi?

  • Je ni huawei ipi E303s au E303H au ni E303 hiLink
  • Kuna njia tofauti ya ku_unlock kwa kila aina ya modem

mimi ya kwangu ni E303Hlink kama vp naomba msaada make mm networck ya Tigo inazngua ktk maeneo nilipo!
 
Back
Top Bottom