MSAADA: Jinsi ya kuset dish channel za free (FTA)

Mwenda_Pole

JF-Expert Member
Jul 5, 2008
281
66
Heshima mbele wakuu,
Majuz nimenunu vitu vifuatavyo kwa ajili ya zoezi zima la kuunga ili nipate channel za FTA:
1. Dish la Gulf Star HD Ready la ft 6
2. King'amuzi cha HD Box 500 S DVB -S2 MPEG 4
3. Gulf Star LNB single cable solution
4. Satellite finder
5. Cable ya 35 meter
Nilichofanya:
Nimeunga king'amuzi (receiver kwenye TV, na cable kuja kwenye satellite finder na kutoka kwenye satellite finder kwenda kwenye dish.
Nimejaribu ku tune dish na kupata mlio unaoonyesha satellite imepatika.
Changamoto:
Pamoja na kuwa mlio unaonyesha satellite imepatikana, nikienda kwenye receiver na kuscan satellite zote natoka patumu.. hakuna hata channel moja inayopatikana.
Nisaidieni walio na uzoefu. Wapi nakosea???

Shukran in advance
 
Unataka kupata channeli zipi za hapa bongo eg ITV Star tv n.k or?
Ningependa kupata za nje mfano Dubai One, MBC Movie, BeIn au hata za kihindi..nimenunua kwa ajili ya FTA za nje za channel za ndani naziona kupitia startimes
 
ivi hiyo satelite finder inapatikana wap na kwa bei gani na je hamna app yoyote kwenye app store naweza kuitumia kama satelite finder
 
Gulf star lnb toleo jipya karibu zote mabom. Tafta supermax au eurostar ibadlishe io utaona channel,
 
ivi hiyo satelite finder inapatikana wap na kwa bei gani na je hamna app yoyote kwenye app store naweza kuitumia kama satelite finder
satfinder zipo tele madukani kaka.iliyo bora kabisa bei kuanzia laki 4 kwenda juu lakini pia zipo za bei ndogo kama 50000 lakini ni analogia na hazifai.playstore zipo satfinder kibao ila kutumia sasa ndo kazi
 
satfinder zipo tele madukani kaka.iliyo bora kabisa bei kuanzia laki 4 kwenda juu lakini pia zipo za bei ndogo kama 50000 lakini ni analogia na hazifai.playstore zipo satfinder kibao ila kutumia sasa ndo kazi
Nauliza unaweza kuseti free sat kwakutumia dish LA fut mbili na nusu
 
kabla ya kununua hivo vitu ungekuja kuuliza hapa kwanza watu watiririke kwa ushauri kisha ndo ufanye maamuzi sahihi hasa hapo kwenye LNB na receiver
 
Nauliza unaweza kuseti free sat kwakutumia dish LA fut mbili na nusu
Ni ngumu mkuu mana Sat nyingi zinazotuma mawimbi free to air FTA zinatuma mawimbi ktk frequency ndogo hivo kuipata sat kwa dish ya futi mbili ni mziki Ila sattelite za KU band ambazo ni high frequency ata dish dogo lina weza kuinasa Satellite, FTA hutumia band Ya C band kumodulate Radio Waves
 
Ushauri wangu tafuta fundi wa kuset dish atakujazia channels kibao kwa dk chache tu na bei zao ni kuanzia 30000. Mambo ya kutumia satellite finder wakati hata satellite zenyewe huzijui ni kujipunguzia tu siku za kuishi
 
Ushauri wangu tafuta fundi wa kuset dish atakujazia channels kibao kwa dk chache tu na bei zao ni kuanzia 30000. Mambo ya kutumia satellite finder wakati hata satellite zenyewe huzijui ni kujipunguzia tu siku za kuishi
Umenena kweli mkuu
 
Back
Top Bottom