Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

za jumapili..hapa Nina cm ndogo ya huwawei na siku za nyuma nilikuwa natua kuangalia video na kusikiliza mziki kupitia TV.sasa ghafla haitumi app hizo kwenye tv .nimejaribu ku-back up lakini...
0 Reactions
4 Replies
843 Views
Cm yang tenco C8 ilkuwa inasumbua kuwaka had ubonyeze button ya kuzmia muda but Jana uck nmeiweka chaji asbh naiwasha inarudia mchezo uleule sasa hapa imewaka imecorrupt vitu vyang vyooote...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Natafuta mtaalam wa fb anaeweza kutafuta likes kwa wingi kwenye post tuwasiliane kwa namba 0715047195/0768098900
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Msaada natafuta fundi mzuri wa simu..simu yangu camera not working..hata ikifunguka ukiclick haipigi na ukihold inapiga upside..(picha inatoka juu chini.)nahaitoi option ya back camera only front...
0 Reactions
0 Replies
609 Views
ommytech.com inakupatia huduma ya hosting kwenye website yako pia kununua domain kwa bei rahisi kabisa kma utahitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473 karibun
1 Reactions
5 Replies
900 Views
Naomba msaada kwa mtaalamu anambie namna ya kuandika chemical equations za inorganic na organic cpds. Natanguliza Shukrani zangu za dhati kwenu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu, propeller ads inalipa? Aliyefaidika alikuwa anapost kwa traffic ya kizungu au ya kibongo ? Malipo kwa Payoneer Prepaid Master Card ni reliable?
3 Reactions
12 Replies
3K Views
aman iwe kwenu wadau! mm ninatumia sim aina ya Inote, sasa leo hii ni siku ya tatu kila ninapohitaji kuitumia haikubali inanoletea tu massage google play service has stoped, sasa ni jins gan...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Mimi ni kijana napenda sana kumiliki kituo cha Televisheni kwa kuwa nina uwezo mkubwa wa utunzi na uandaaji wa vipindi. Napenda niwe na kituo cha Televisheni changu ila kutokana sina uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habar zenu, pc yangu ni lenovo L412 sasa tangu juz nikiiwasha kioo kinakua cheupe lakin pc inakua inaendelea kufanya kazi maana nikichomeka monitor ya nje inaonyesha vzr, sasa nikaifungua kule...
0 Reactions
5 Replies
986 Views
msaaada computer yangu imekufa kiooo display aina ni ...hp elite book ...
0 Reactions
3 Replies
607 Views
kwa anayefahamu,ni software gani hutumika kudesign sketch s mbalimbali,eg.kama waliyotumia kusketch muonekano wa fly over,muonekano wa kigamboni.
1 Reactions
0 Replies
613 Views
Ndugu, Ni dhahiri kuwa jukwaa hili ni jukwaa la watu wenye skills mbalimbali, zikiweno skills za graphics designing, na vinginevyo vingi. Lakini leo hii nimeona watu wote wanaopenda kufanya...
0 Reactions
4 Replies
815 Views
MARAFIKI.COM ilikuwa my best chating site nlikuwa naingia uko kwa day nakukaa hours meeting new friends chatting na wa bongo wenzangu hehehe! just chating yani ilikuwa bomba sana n that was like...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu kwanza natanguliza salaam...naombeni msaada KEY za kuactivate Windows 8.1 pro
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Samsung galaxy J5, naona ni simu nzuri sana, anayejua bei yake naomba anijuze ,
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau wa Tech Naomba kupewa msaada wa technique ya kuongeza traffic katika tovuti, Nawasitani wa kutembelewa kwa siku 1K - 1.5K nataka niweze ku move kutoka hiyo stage kwenda kwenye 5k - 10...
1 Reactions
0 Replies
670 Views
Nahitaji kujua wapi naweza pata hizi vitu hapa Dar-es-Salaam.Amazon na Alibaba naona zipo nyingi tu nahisi hata bongo zitakuwepo the qn is where. Mi ni miongoni mwa watu ambao hujikuta hawahitaji...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Mambo zenu,naomba mnisaidie kuchagua kati ya tv hizi: SAMSUNG LG SONY HEISENCE SOLSTAR Zote ni inch 32 na price zao zinarange sawa except kwa SONY iko juu kidogo kuliko zingine hapo...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Nahitaji kudownload software za computers mfano Jet audio,adobe,vlc na zngine je? Nifanyeje ili niweze kudownload kma vl tunatumia PLAY store za kwenye simu? ??
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…