Nahitaji kujua wapi naweza pata hizi vitu hapa Dar-es-Salaam.Amazon na Alibaba naona zipo nyingi tu nahisi hata bongo zitakuwepo the qn is where.
Mi ni miongoni mwa watu ambao hujikuta hawahitaji kbs laptop kuishiwa charge sababu ya umeme kukatika. Kwa yeyote anayejua zinakopatikana ani-update tafadhali!
Mi ni miongoni mwa watu ambao hujikuta hawahitaji kbs laptop kuishiwa charge sababu ya umeme kukatika. Kwa yeyote anayejua zinakopatikana ani-update tafadhali!