Ndugu wanajamvi naomba msaada ya kuunganisha cm na pc kwa kutumia Bluetooth ili niweze kucheza audio wirelessly pc yangu ni hp 250 g5 na phone ni samsung galaxy j7.
#freemaxencemelo
Habari JF....
Hivi kuna app au any other way ya kujua kua simu imetumika mda gani??? E.g mwaka au miezi flani.
Kwa mfano mtu anakwambia hii simu nimetumia wiki mbili tu,si...
Habari za leo wana jamvi, jamani nina tatizo naombeni msaada wenu. Nina external storage ya WD, ambayo haisomi tena nikiconnect kwenye computer, kuna data zangu zimo humo ndani, nisaidieni kama...
Nimejaribu kudownload apps mbali mbali lakini zote zimeshndwa,nataka lile file la GALLERY nililock kwakuwa kuna watu ukiwaazima simu hupenda kwenda kutazama mapicha na video sasa mie sitaki
Jaman naombeni msaada jinsi ya kuiondoa mistari iliyojitokeza ktk screen ya pc baada ya kukandamizwa kwa bahati mbaya. Kama kuna mtaalam anaejua jinsi ya kutatua hili tatizo msaada pliz
Wakuu naomba kufahamu simu yangu memory card ni 8gb na imebakiza space gb 6.49 na internal storage ni 16gb na imebaki space 9.80gb kwenye ram ni 1gb Ila space inakuwa 350mb-270mb na apps zote...
Natumia simu ya tecno mwanzo nilikuwa natengeneza wifi-hotspot na connect na pc ila karibuni haifanyi kazi japo inaconnect na bar zinasoma vizuri sijui shida itakuwa ni nini wadau kwa sasa natumia...
Heshima kwenu wakuu
Laptop yangu aina ya Dell Latitude D420 haiwaki, nikiiwasha inaishia kuwasha ivi vitaa vya caps lock, Bluetooth na vinaonesha mwanga kwa sekunde kadhaa alafu vinazima na ndo...
1. Hacking can be called the art of breaking into system for good purposes or bad purposes
2.hacking may range from breaking phones,pc,servers,electronic devices,credit cards and many more...
Msaada wa kuunlock huawei modem
model:E3372h-510
Imei:866658020469621
ilikuwa hilink nimejaribu iflash imekuja kwenye dashboard ila bado inanitaka niweke unlock code
Salaam
Natumai mmeamka salama ila moja kwa moja katika point ni kwamba natumia android flani hivi ila kuanzia Jana nimepata tatizo la kushindwa kudownload chochote kupitia browser, naletewa...
Heshima kwenu wakuu
Nina simu yangu aina ya Tecno M3 Sasa takribani siku kadhaa sasa kila nikiiwasha inaishia kuandika tecno tu basi haiendelei zaidi ya hapo nikizima haizimi hadi nitoe betri ila...
Wanajamvi mimi mgeni ktk ulimwengu wenu wa digital..ila naombeni ujanja wa kuweza kuinstall windows kutoka ktk flash au hdd... niko na mini laptop na sina externel dvd rom...natanguliza shukrani