Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Mi nimejibu no thanks
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, facebook ads yangu nilikuwa naitumia vizuri tu Ila tangu leo, kila niki promote page ad inakuwa disapproved . Tatitizo ni nini?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Napenda kujifunza website design kwa kutumia, kwa anaejua pls anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
801 Views
Habari zenu ndugu Nina simu yangu tecno w5 lite nataka niswitch 4g ya voda vipi itasupport na mitandao mingine Kama tigo au kila mtandao kivyake
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi shida yangu ni kwamba nina website natengeneza lakini shida ni kwamba code za kufuta au kuremove product kwenye cart zinagoma kufunction na button aifanyi kazi msaada...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa. Mimi ni kijana ambaye kiujumla sijui lolote kuhus tathnia hii ya mambo ya upigaji picha kwa ujumla .Ila kuna sehemu amabko fursa nimeion naamini kabisa kua itanisaidia...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Nahitaji msaada wa hali na mali wa season ya LETS FIGHT GHOST ya kikorea ambayo screen size yake haija katwa ka youtube ipo full yan ka za kwenye tv kabisa
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Natumain mu wazima. Naomba kuuliza app inaweza nisaidia ku restore majina maana namba zimebaki ila hazina majina, kwenye contact msaada wa kuzirudisha.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari wanaJF, Simu yangu nimefanya reset imekubali vizuri tu ila kwenye kipengele cha kulog in na email napata shida na sielewi nifanyaje. Kila email ninayoweka naambiwa (please sign in for...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Huduma ya unlocked kwa simu za voda imerudi ipo hewan kama kawai. Ni pm
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Simu nyingi siku izi hazina auto internet configaration ivyo zinaitaji manual internet setting simu izo ni kama samsung uhawei htc sony na nk ivyo apo ndipo panakuja na umuimu wa kujua APNs na...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Poleni kwa majukumu wadau wa jukwaa la teknologia, naomba tujadili ubora wa bidhaa za led tv kutoka brand hizi mbili,binafsi nlienda kununua sony led tv atleast ya kuanzia inch 40 pale game...
3 Reactions
43 Replies
21K Views
Wapendwa huskeni na kichwa cha uzi hapo juu,,,, Naomben kwa wale wenye uwezo wa kutuwekea kitabu cha nyimbo za wokovu huko play store atusaidie ,, Maana naona vitabu vingine vimejaa ila hicho tu...
1 Reactions
7 Replies
25K Views
kama kichwa cha habari kinavojielezaa nahitaji PC ya hiyo Bei ......apoo .....ata kama ni used fresh.....nipo Darsalam....!!!!
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Wakuu kumekuwa na ushindani katika teknolojia duniani leo nimeona nijitoe uvivu niulize juu ya hilo swala Nani mjuaji wa teknolojia kati ya USA VS japan aksante.
5 Reactions
49 Replies
6K Views
Mambo vp wadau,haya offer yangu hiyo niletee j5 mpya yenye 4G fasta tufanye biashara,pm kwa mawasiliano muhimu.Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Natanguliza Heshima kwenu. Matumai mu-wazima kabisa na mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu. Naomba mnisaidie sites ntakazoweza ku-download series direct sio torrent wakuu kwa kutumia...
0 Reactions
45 Replies
12K Views
Jamani mwenye uelewa wa jinsi ya ku set internet ya halotel kwenye simu za blackberry kwa kweli kwa jinsi wanavyo set kwenye android phones imeshindikana kabisa inaandika edge tu lakini 3G hakuna...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kuna mtu nilimuachia PC yangu, aina ya CP ni comaq, uyo mtu hana uzoefu na ivyo vitu sasa kwa bahat mbaya nilipomuachia aliiwasha ila baadae akaamua kuizima kwa ku command power ivyo kupelekea...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…