Elimu kuhusu Bruhm na TLC led TV

Elimu kuhusu Bruhm na TLC led TV

1701

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
862
Reaction score
367
Poleni kwa majukumu wadau wa jukwaa la teknologia, naomba tujadili ubora wa bidhaa za led tv kutoka brand hizi mbili,binafsi nlienda kununua sony led tv atleast ya kuanzia inch 40 pale game mlimani city lakini katika hali isiyo ya kawaida nkakuta brand mpya ya bruhm,

Kiukweli nlipenda muundo wake nje na picture/vdeo clarity, yaan iko vizuri kuliko sony na samsung,nimefkia hii coz nilipata wasaa wa kuona aina moja ya channel na movie 1 ya hd kuptia brand zote 3 na bado bruhm ilionekana bora kwenye macho yangu.

Kwakuwa bruhm tv ni mpya kwangu nikaamua kuacha maamuzi ya kununua tv siku hyo na nkaanza kufanya utafiti juu ya bruhm lakini mpaka sasa sijaweza kujua country of origin wala website,hawa jamaa wana appliance nying tu kama ac na feni,

Sasa wana jamvi naomba tuijadili ili mimi na wengne wanaotaka kununua bidhaa zao wawe na ujasiri,mara nying nka_search owners wake napelekwa tcl
karbuni
 
kaka siku hizi ukiwa na dola 20,000 tu unaenda china unatengenezewa bidhaa kwa brand yako so usishangae ukaona tv zinaitwa mkwawa,

cha muhimu ni kuangalia technology inayotumika kama inameet standard na content utakayopata.

simple google search hio tv inauzwa africa zaidi hivyo kuna posibility kubwa ni mjanja ameenda china amenunua na kueka brand name yake.
unaweza niambia vitu hivi?

1.technology ya kioo ni ipi? LED/LCD/PLASMA
2.refresh rate ya kioo SI unit yake inakuwa interms ya hz mfano 60HZ
3.resolution ya kioo cha tv.
4.nani katengeneza hicho kioo cha tv
5.ni smart tv au ya kawaida tu?
 
kaka siku hizi ukiwa na dola 20,000 tu unaenda china unatengenezewa bidhaa kwa brand yako so usishangae ukaona tv zinaitwa mkwawa,

cha muhimu ni kuangalia technology inayotumika kama inameet standard na content utakayopata.

simple google search hio tv inauzwa africa zaidi hivyo kuna posibility kubwa ni mjanja ameenda china amenunua na kueka brand name yake.
unaweza niambia vitu hivi?

1.technology ya kioo ni ipi? LED/LCD/PLASMA
2.refresh rate ya kioo SI unit yake inakuwa interms ya hz mfano 60HZ
3.resolution ya kioo cha tv.
4.nani katengeneza hicho kioo cha tv
5.ni smart tv au ya kawaida tu?

shukrani mkwawa,ila kwa jicho la pili kuptia ushauri wako ni bora sony,hz bruhm rf ni 60hz kwa zle za 32inch,ni led na sio smart tv,panel manufactr hawajaonesha,na kweli kwenye searches zlikuwa znaonyesha kuuzwa zaidi ghana,ila kaka picha zake ni quality,i thought ni german technology,km n china znaweza kudumu 6months only
 
shukrani mkwawa,ila kwa jicho la pili kuptia ushauri wako ni bora sony,hz bruhm rf ni 60hz kwa zle za 32inch,ni led na sio smart tv,panel manufactr hawajaonesha,na kweli kwenye searches zlikuwa znaonyesha kuuzwa zaidi ghana,ila kaka picha zake ni quality,i thought ni german technology,km n china znaweza kudumu 6months only

60hz, led, sio mbaya hasa kama huchezi game unaangalia tu movie na tv kawaida. pia smart tv hazifai jamaa watakuchungulia. next time kichunguze hiko kioo vitu viwili.

1. angalia viewing angle jaribu kwenda kulia na kushoto kwa tv kama quality ni ile ile maana kuna tv hadi ukae mbele yake ndio zinaonesha vizuri. nasema hivi maana unaweza kwenda kuieka sebuleni ikawa kochi la katikati tu ndo wanaona tv waliokaa pembeni hawaoni kitu.

2. color reproduction- kuna tv zinatoa rangi ambazo zina saturation kubwa hivyo ichunguze rangi nyingi nyingi kama zote zipo clear.

unaweza inunua kama bei ni rahisi sana ila kama zinakaribiana ni bora uachane nayo.
 
60hz, led, sio mbaya hasa kama huchezi game unaangalia tu movie na tv kawaida. pia smart tv hazifai jamaa watakuchungulia. next time kichunguze hiko kioo vitu viwili.

1. angalia viewing angle jaribu kwenda kulia na kushoto kwa tv kama quality ni ile ile maana kuna tv hadi ukae mbele yake ndio zinaonesha vizuri. nasema hivi maana unaweza kwenda kuieka sebuleni ikawa kochi la katikati tu ndo wanaona tv waliokaa pembeni hawaoni kitu.

2. color reproduction- kuna tv zinatoa rangi ambazo zina saturation kubwa hivyo ichunguze rangi nyingi nyingi kama zote zipo clear.

unaweza inunua kama bei ni rahisi sana ila kama zinakaribiana ni bora uachane nayo.

hili jukwaa bila wewe ni bure,knowledge ni kila kitu,kaka nina 5 yearz za kufuatlia techs,viewing angle ni nzuri,shnda ilikuwa brand,lakn kwa heshma yako naenda sony,pia natoa ushauri kwa wadau msinunue bruhm,hawana hata website ingawa quality ya muda mfupi kubwa
 
60hz, led, sio mbaya hasa kama huchezi game unaangalia tu movie na tv kawaida. pia smart tv hazifai jamaa watakuchungulia. next time kichunguze hiko kioo vitu viwili.1. angalia viewing angle jaribu kwenda kulia na kushoto kwa tv kama quality ni ile ile maana kuna tv hadi ukae mbele yake ndio zinaonesha vizuri. nasema hivi maana unaweza kwenda kuieka sebuleni ikawa kochi la katikati tu ndo wanaona tv waliokaa pembeni hawaoni kitu.2. color reproduction- kuna tv zinatoa rangi ambazo zina saturation kubwa hivyo ichunguze rangi nyingi nyingi kama zote zipo clear.unaweza inunua kama bei ni rahisi sana ila kama zinakaribiana ni bora uachane nayo.
kaka,dealer wao kanipigia simu kasema imetengenezwa german,tofauti ya bei ipo ingawa si kubwa,nitaenda kuangalia viewing angle vzur zaid kama ulvyoshauri alaf nirudi,mfano bei ya 32inch ni 600,000 wakat sony ni 720k,bei ya 40inch ni 1m wakat sony ni 1.4m
 
kaka,dealer wao kanipigia simu kasema imetengenezwa german,tofauti ya bei ipo ingawa si kubwa,nitaenda kuangalia viewing angle vzur zaid kama ulvyoshauri alaf nirudi,mfano bei ya 32inch ni 600,000 wakat sony ni 720k,bei ya 40inch ni 1m wakat sony ni 1.4m

kwanini bei inakuwa kubwa hv kwa hizi tv? ichunguze zaidi usikubali tu moja kwa moja kuwa ni ya ujerumani maana inawezekana makao makuu yapo huko ila kila kitu wanafanya china
 
Kaka asikuambie mtu kitu. .bruhm ni kampuni ya kijerumani. ....suala la point of assembling is not an issue. ...watu wanafuata cheap labour and raw materials...ila tunachoangalia sisi ni quality. .suala la bei ni kwamba lg, sony and other big brand....wanaspend a lot of money kwaajili ya advertisement and marketing so lazima bidhaa zao zitakua na bei kubwa kwaajili ya compensation
 
60hz, led, sio mbaya hasa kama huchezi game unaangalia tu movie na tv kawaida. pia smart tv hazifai jamaa watakuchungulia. next time kichunguze hiko kioo vitu viwili.

1. angalia viewing angle jaribu kwenda kulia na kushoto kwa tv kama quality ni ile ile maana kuna tv hadi ukae mbele yake ndio zinaonesha vizuri. nasema hivi maana unaweza kwenda kuieka sebuleni ikawa kochi la katikati tu ndo wanaona tv waliokaa pembeni hawaoni kitu.

2. color reproduction- kuna tv zinatoa rangi ambazo zina saturation kubwa hivyo ichunguze rangi nyingi nyingi kama zote zipo clear.

unaweza inunua kama bei ni rahisi sana ila kama zinakaribiana ni bora uachane nayo.

Refresh rate gani nzur for gaming
 
Refresh rate gani nzur for gaming

minimum 60hz yoyote inayopanda zaidi ya hapo ni nzuri kwa games.

na jinsi resolution inavyopanda ndio jinsi refresh rate inavyopungua, siku hizi kuna tv za 4k ni 24hz tu. unaweza toa mamilioni ya hela ukanunua hata super mario ukashindwa kucheza.

kuna tv fulani za plasma ni 600hz hizi ni nzuri sana kwa games hasa kama unafanya emulation (ps2, gamecube, wii) zipo za 720p na 1080p na bei zake pia ni nafuu sana.

sifahamu kodi za tv zipoje hapa bongo na kama kuagiza online au kununua hapa hapa nchini kupi kunalipa.

nenda site ya kununulia vitu online kama amazon search 600hz zitakuja nyingi tu.
 
hili jukwaa bila wewe ni
bure,knowledge ni kila kitu,kaka nina 5 yearz za kufuatlia techs,viewing
angle ni nzuri,shnda ilikuwa brand,lakn kwa heshma yako naenda sony,pia
natoa ushauri kwa wadau msinunue bruhm,hawana hata website ingawa
quality ya muda mfupi kubwa

Mmmh mkuu kweli nimeona njia, nilinunua tv ya bei poa, inaitwa BISH siyo BUSH mwaka jana mwezi March, mwaka huu mwezi Dec ikaanza kukataa kuwaka, fundi anasema imekufa CARD, /VIDEO BOARD,. Ukiiwasha inababiki tu ktk STANDBY MODE/RED LIT, lkn haiwashi BLUE. HII BRAND HAIONESHI MANUFACTURER, NA WALA WEBSITE HAINA, NA HATA HAIEXIST, UKIGOOGLE UNALETEWA BUSH TV. NA KWA SASA NAONA ZIMEENEA MJINI. Umakini ni muhimu.
 
Mmmh mkuu kweli nimeona njia, nilinunua tv ya bei poa, inaitwa BISH siyo BUSH mwaka jana mwezi March, mwaka huu mwezi Dec ikaanza kukataa kuwaka, fundi anasema imekufa CARD, /VIDEO BOARD,. Ukiiwasha inababiki tu ktk STANDBY MODE/RED LIT, lkn haiwashi BLUE. HII BRAND HAIONESHI MANUFACTURER, NA WALA WEBSITE HAINA, NA HATA HAIEXIST, UKIGOOGLE UNALETEWA BUSH TV. NA KWA SASA NAONA ZIMEENEA MJINI. Umakini ni muhimu.

asante mkuu,umetupa ushuhuda,samahan,watu weng wameumizwa ila hawawez kuja humu kusema ukwel,mim natumia muda kutafuta infos za product husika kabla sijanunua
 
Kaka asikuambie mtu kitu. .bruhm ni kampuni ya kijerumani. ....suala la point of assembling is not an issue. ...watu wanafuata cheap labour and raw materials...ila tunachoangalia sisi ni quality. .suala la bei ni kwamba lg, sony and other big brand....wanaspend a lot of money kwaajili ya advertisement and marketing so lazima bidhaa zao zitakua na bei kubwa kwaajili ya compensation

tafadhali,nimezipenda kweli,quality yake ni kubwa ,lakn mbona hata website hawana?
 
Ok website yao ipo. ...ata ukigoogle utaiona. ..ila kampuni hiyo siyo kongwe kivile na ili base sana kwenye fridge na air conditioner. ....sasa waneingia kwenye TV na kumbuka wao wenyewe ndio wametoa Tv zenye android operating system. .then product fake huwezi kuta kwenye maduka kama the game kaka
 
Ok website yao ipo. ...ata ukigoogle utaiona. ..ila kampuni hiyo siyo kongwe kivile na ili base sana kwenye fridge na air conditioner. ....sasa waneingia kwenye TV na kumbuka wao wenyewe ndio wametoa Tv zenye android operating system. .then product fake huwezi kuta kwenye maduka kama the game kaka

mbona android ni yeboyebo kwenye tv? kila manufacture anaieka
 
Ok website yao ipo. ...ata ukigoogle utaiona. ..ila kampuni hiyo siyo kongwe kivile na ili base sana kwenye fridge na air conditioner. ....sasa waneingia kwenye TV na kumbuka wao wenyewe ndio wametoa Tv zenye android operating system. .then product fake huwezi kuta kwenye maduka kama the game kaka

Game hadi sasa inaongoza kwa kuweka vitu fake. Niliapa vitu vya maana ni bora nikanunulia Kkoo. Maana wanauza vitu fake halafu bei kubwa pia.
 
Back
Top Bottom