McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,170
- 2,334
Wapendwa huskeni na kichwa cha uzi hapo juu,,,,
Naomben kwa wale wenye uwezo wa kutuwekea kitabu cha nyimbo za wokovu huko play store atusaidie ,,
Maana naona vitabu vingine vimejaa ila hicho tu ndio hakipatikani.
Lakini pia kama Askofu Batenzi ali~prohibit tuambiwe
Stay blessed
Naomben kwa wale wenye uwezo wa kutuwekea kitabu cha nyimbo za wokovu huko play store atusaidie ,,
Maana naona vitabu vingine vimejaa ila hicho tu ndio hakipatikani.
Lakini pia kama Askofu Batenzi ali~prohibit tuambiwe
Stay blessed