Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Natafuta used Floor Standing Air Conditioner-
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Blackberry ni miongoni mwa kampuni ulimwenguni zinazoongoza katika ufumbuzi wa teknologia mbalimbali katika ulimwenguni wa mawasiliano wa kutumia simu za mkononi maarufu hivi sasa kama smatifoni...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Naomben msaada wa jinsi ya kuwa na speed ktk typing, nitafurah iwapo nikipata game ambalo litanisadia ktk speed, natangulia shukran
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau msaada tafadhal Samsung TV haitak kuonyesha picha na inawaka na kuandika Samsung tuu, msaada tafazal Nakosa mech mwenzenu
1 Reactions
2 Replies
690 Views
Laptop yangu aina ya Lenovo ni mpya na inatumia window 10.Tatizo ni kwamba nikiingia kwenye internet kuna wakati inaleta bar na dots nyeusi juu ya page niliyopo. Bar hizi zinatokea randomly na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau Simu yangu nokia x2 rumia nadhani ina tatizo au labda ndio ipo hivi inikutavyo tatizo nikwamba 1,Nikiwa napakuwa baadhi ya App unigomea na kudai sijafikia huduma za google duka kifaa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kujua jins ya. Kuanza kutuma pesa kwenye mtandao unaanza tuma pesa au lipa kwa M-PESA?? Nmesha poteza 20 wadau msaada kwa anaye jua
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari... Kuna HP imegoma kuwaka, yaani ikiwaka kuna Ka mstari Fulani kama Ka alama Ka kutoa kana blink kwa upande wa juu kushoto, basi haiendelei tena...... Ilikuwa hivi, niliizima fresh...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu nimedownload version mpya ya whatsapp lakini nashindwa kuitumia hasa hapa kwenye stutas yaani sielewi kabisa mwenye kujua hii version mpya ya whatsapp anisaidie jamani msaada jamani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hapo jana shirika la NASA la nchini marekani lilitoa tangazo maalumu kuwa sasa kumepatikana sayari saba mpya, kwa mujubu wa NASA sayari hizo zenye ukubwa sawa na dunia zinauwezekano wa kuishi...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
nimesaha no zangu za ATM nawezaje kuharck account yangu watu wa IT Muhusike
0 Reactions
5 Replies
8K Views
How to make emoji using your picture Technology is really improving day by day Not all the emojis can express someone's feelings You can now express your feelings using your image At least to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za mida wakuu,naomba kujuzwa tofauti za RAM na processor naona zinanichanganya.Pia ipi itakua mashine yenye uwezo mkubwa kati ya hizi mbili,machine 1:intel core i5 RAM 3GB machine2:intel...
2 Reactions
12 Replies
9K Views
2jadiliane wote na 2elemishane.. Mi nimtafiti wa ma network ya bongo,nachunguza process zote na katika process ya kucheki napata kujua vitu vingi tuu,hadi wapi kuattack..but nimeona sasa ni mda wa...
5 Reactions
85 Replies
24K Views
Kuna ishu kubwa saivi inatuface gamers ambayo ni hadwares To be honest hapo mimi mwenyewe kilaza. Tena kilaza haswa. Ila nina PC ya kawaida tu HP i3 na inapiga mizigo kama lembe. Nina magem...
2 Reactions
59 Replies
8K Views
Naipenda sana Game ya Euro Truck 2 Simulator, mpk sasa nipo level ya 16 kupitia laptop yangu, kitu kinachonishinda ni endapo nikitaka kuendesha magari mengine tofauti na haya Ma-truck, kwa...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Chanel yetu pendwa kwa sisi kipato cha chini hatimae imefikia ukomo wake jana, ni pigo sana kwa upande wetu sijui tutafanyaje tena kupata mbadala wake
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Wana jamvi nahitaji mordem ya tigo au voda kama unayo uni pm tufanye biashara
2 Reactions
2 Replies
1K Views
kama kila MTU anavyojua dunia imeshaa Na inaendelea ku undergo a digital revolution.Hapa Africa tunaona innovations kma sim banking Na "bullshit waste of talent programs to save society nyingi...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
wakuu habari ,naliomba mwenye kujua jinsi ya kujiunga na mtandao wa matangazo kwa website wa pinpoint anifahamishe,natangulia shukrani kwa atakayefanikisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…