Mpambalachuma
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 362
- 44
Naomben msaada wa jinsi ya kuwa na speed ktk typing, nitafurah iwapo nikipata game ambalo litanisadia ktk speed, natangulia shukran
atazihamishiaje mkuu....hamishia app zako za kuchat zote kwenye pc, ukipata msg muhimu za kujibu utaandika bila kuchoka na speed itaongezeka.
kwa kutumia emulator ya android kama noxatazihamishiaje mkuu....
mkuu dell d430 inaweza kuweka hiyo emulator kama inaweza naomba niwekee link ya jinsi ya kudownload.kwa kutumia emulator ya android kama nox
ina ram gb ngap? maana hizi software zinazotumia VM zinakula sana rammkuu dell d430 inaweza kuweka hiyo emulator kama inaweza naomba niwekee link ya jinsi ya kudownload.
2gb....mkuuina ram gb ngap? maana hizi software zinazotumia VM zinakula sana ram
asante mkuu ngoja nidownload kisha nitakupa feedback2gb jaribu kutumia hizi
-droid4x
-nox app player