Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Assalam Alleykum ndugu zangu natumai mko poa poleni kwa mfungo ,tuendelee kumwomba Mungu katika kipindi hiki Nashindwa kutumia internet pindi nikipigiwa simu ,msaada jinsi ya kufix hii shida wakuu
2 Reactions
21 Replies
413 Views
Hapa najazaje wakuu ili nipate internet ya hotsport kwenye smart TV yangu?
4 Reactions
11 Replies
174 Views
Free Video Converter is the software designed to convert video formats of various types and does cost free to use. If your video player does not support some video format and you want to convert...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Wakuu, Nini malengo ya website mbalimbali kuuliza swali hilo? na wakati mwingine kukupa task mbalimbali kama kuchagua magari, traffic lights nk. ✅Ina maana wanaogopa marobot yataharibu au vipi...
9 Reactions
56 Replies
880 Views
Wakuu mwenye experience na hiki kitu please anisaidie niunganishe hii saa na Simu kwani itakua rahisi hata kuset mda pale nitakapokua nasafiri kwenda nje au kurudi Tanzania.
0 Reactions
28 Replies
351 Views
1. Research ChatGPT YouChat Perplexity Copilot Gemini 2. Image Leap AI Copilot Segmind Midjourney Stable Diffusion 3. CopyWriting Rytr Copy AI Writesonic Adcreative AI 4. Writing Jasper HIX...
8 Reactions
9 Replies
2K Views
EXCEL SIO YA ACCOUNTANTS TU – NI SILAHA YA KUJENGA UHURU WA KIFEDHA KWA KILA MTANZANIA Watanzania wengi wanadhani Microsoft Excel ni ngumu au ya watu waliosomea uhasibu. Lakini ukweli ni kwamba...
6 Reactions
12 Replies
894 Views
Kwa wote wanaomiliki wi-fi router au wanaotegemea kuwa nayo badae, ni muhimu sana kufahamu kua ukiset password ili mtu asiye na password asiweze kutumia wi-fi yako ujue umejipotezea tu mda mana...
20 Reactions
58 Replies
5K Views
Wakuu habari ya muda huu, poleni na majukumu Nina changamoto yangu moja naomba msaada, nina taa yangu moja ni Watts 5 Dc nataka ikae inawaka kwa masaa 12 na kuchaji simu pia. Hivyo nilikuwa...
3 Reactions
9 Replies
239 Views
"Kalinka & Tobol" ni mifumo ya kivita ya kielektroniki (EW) ya Urusi ambayo hivi karibuni imepata umaarufu kwa madhumuni yake ya kugundua na kuvuruga mawasiliano ya satelaiti, hasa yale ya...
5 Reactions
21 Replies
689 Views
Ni February nyingine, Samsung wanatuletea S Series. Wamekuja na S26, S26+ na S26 Ultra. Kusema kweli mabadiriko ya kimuonekano ni madogo sana ukifananisha na S25 kwahiyo vichache vya kuandika.
12 Reactions
29 Replies
712 Views
Naomba msaada please Bwana Mdogo anahitaji kubuild workstation but budget ya kuanzia anasema ana tsh 500,000. But kila after two weeks atakuwa anapata tsh 500,000. Je aanze na nini kwa hii tsh...
1 Reactions
6 Replies
157 Views
Nilikuwa natumia Xiaomi 12T Pro Kwa muda sasa ila majuzi usiku hapa Mbeya wahuni walinikaba na kunipora kila nilichonacho including my phone. Uzuri sikuwa na hela nyingi mfukoni kwa hiyo kitu cha...
17 Reactions
59 Replies
1K Views
Wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza Nahitaji kuchukua wi-fi lengo kubwa ni kuona namna Gani naweza kusave Hela ambayo ningeitumia kununua vocha za Kila siku Na nimepata hiyo hapo Pocket rout ya...
7 Reactions
33 Replies
784 Views
Tupitie pamoja flagship soundbars. 1. Nakamichi Dragon 11.4.6 : Description:Hii soundbar ina channels 21 katika configuration ya 11.4.6. Pia ni soundbar ya kwanza kusapoti DTS:X Pro ambayo ni...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Je kuna offline audio player nzuri kushinda hizo hapo juu zenye user face nzuri na quality nzuri ya muziki kushinda poweramp player...kama zipi basi unaweza kuzitaja hapo chini....Kwangu Poweramp...
4 Reactions
13 Replies
528 Views
Sticker nyekundu hizo husaida kufunika lens ili isifanikiwe kuchukua picha endapo pale atakapopiga picha kimakosa hasa nakala nyeti na za usiri ukubwa. Endapo hata simu yake itakapokuwa hacked na...
6 Reactions
18 Replies
448 Views
China's Robots Are No Longer Just Working, They're Performing on Stage Like Pro Dancers This wasn't a sci-fi movie. It was a live concert. At Leehom Wang's Chengdu show, 6 Unitree robots...
2 Reactions
5 Replies
292 Views
  • Question Question
Msaada namna ya ku- unlock banned Facebook account Wakuu salamu. Kama heading inavyojieleza hapo juu, account yangu ya Facebook imefungiwa kutokana na kuhisiwa kuwa mimi ni hacker kitu ambacho...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna watu wengi sana wanapenda kufanya biashara, kuandika mitandaoni, kufundisha, au kutangaza huduma zao… lakini wanakwama sehemu moja: “Sijui design.” Zamani ilibidi ujifunze Photoshop kwa...
2 Reactions
1 Replies
285 Views
Back
Top Bottom