Shida Ni Earphones Au Ni Simu?

Shida Ni Earphones Au Ni Simu?

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,165
Reaction score
2,598
Habari wakuu,,hopefully mko poa..Mimi aysee naomba mnisaidie kitu kimoja wataalamu wa Tech..Nimekuwa Nikinunua Earphones lakini baada ya muda kidogo tu zinaanza kupoteza ufanisi wake..Mfano ukijitikisa tu unashangaa muziki unaji'pause au unajipunguza sauti au kujiongeza..Then haiishii hapo inaleta ujumbe huu ntatuma picha hapo...Naombeni utatuzi shida inaweza kuwa ni simu au Earphones?,,Simu ni Samsung na Earphones ni Oraimo..Ahsanteni
1000321207.jpg
1000399113.jpg
 
Inawezekana kuwa vyote mkuu, hapo ume trigger Google assistant so either earphones mbovu ama port ya simu. Earphones zote ulizotumia hakuna OG hata moja? Maana Oraimo nao Tia maji Tia maji.
Okay,,,kwahyo nifanyaje hiyo Google assistant niizime?
 
Habari wakuu,,hopefully mko poa..Mimi aysee naomba mnisaidie kitu kimoja wataalamu wa Tech..Nimekuwa Nikinunua Earphones lakini baada ya muda kidogo tu zinaanza kupoteza ufanisi wake..Mfano ukijitikisa tu unashangaa muziki unaji'pause au unajipunguza sauti au kujiongeza..Then haiishii hapo inaleta ujumbe huu ntatuma picha hapo...Naombeni utatuzi shida inaweza kuwa ni simu au Earphones?,,Simu ni Samsung na Earphones ni Oraimo..Ahsanteni View attachment 3595297View attachment 3595299
Hizo ni earphones wireless,.. Sensitivity yake inapeleka command kwenye simu. Ndiyo uboya wa hizi earpods za sasa.
 
Okay,,,kwahyo nifanyaje hiyo Google assistant niizime?
Unaweza kuizima Ila sio solution, kwa kuanzia tafuta brand nzuri, hata earphones za vitochi nzuri kama za Samsung, uone kama tatizo linaendelea.

Kwenye setting za Google Assistant jaribu kuweka off "hey Google" ama alternative phrase ambayo inaweza kuiamsha Google assistant kwa Sauti.
 
Hizo ni earphones wireless,.. Sensitivity yake inapeleka command kwenye simu. Ndiyo uboya wa hizi earpods za sasa.
Hata mm nimenunua earpods za raino ovyo sana. Zinakita fresh. Ila usiziguse tu ndo uta enjoy.

Ndo madhara ya vitu bei chee
 
Unaweza kuizima Ila sio solution, kwa kuanzia tafuta brand nzuri, hata earphones za vitochi nzuri kama za Samsung, uone kama tatizo linaendelea.

Kwenye setting za Google Assistant jaribu kuweka off "hey Google" ama alternative phrase ambayo inaweza kuiamsha Google assistant kwa Sauti.
Okay shukran,,ngoja nifanye ivo
 
mkubwa ear phone kikawaida wiki moja tu isha kufa

mimi naifumuaga na kuiunga upa kisha na iziba na plastik

earphone na headphone za waya kwakweli huaga hazidum.

labda ujiongeze uiunge upya labda.
 
Unasema oraimo au raino?
Mm nimenunua 20k raino hizo za 200k si Bora nikachukie beats au jbl kabisa.

Kumbe ni raino hapo sawa , ila mchina ana balaa na hiz fake!

Beats na jbl zinaendaje, mi natumia oraimo zile zina case ya round, so far naona ziko fresh!
 
Back
Top Bottom