42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Sijui ni mimi tu mafundi niliowahi kutana nao au lah. Kama kule Kariakoo. Mitaa kama Aggrey na Uhuru zina mafundi simu wengi ila wengi kama siyo wote ni miyeyusho. Mikoani huko ndo kabisa.
1. Unakuta fundi hana hata hot air blower gun au hata kama anayo hajui matumizi yake. Unampelekea simu unataka kubadili battery. Simu ina back glass, anaanza kuforce kutoa back glass kwa kuingiza vitu mule pembeni. Sometimes anaishia kuivunja, ukiwasha moto unaanza kuonekana mkali.
2. Kuweka gundi. Yaani fundi simu anakuwekea magundi mengi kazi inakuwa mbaya hata haivutii. Mbaya zaidi anaweka hayo magundi halafu hata glass yenyewe haishiki.
Wengi wanatumia B7000 glue lakini sidhani kama tatizo ni B7000. Maana ni gundi ambayo ina review nzuri mitandaoni.
Nadhani shida siyo gundi ila shida ni kuipa hiyo Gundi mazingira inayotaka ila ishike vizuri. Hiki kipengele wengi wanafeli.
Suggestion; Badala ya kutumia hizo gundi tumieni double wall Adhesive tapes. Hizi tapes zipo specific kwa ajili ya simu husika au zipo ambazo ni multipurpose. 1mm au 2mm inafaa sana. Zinabana vizuri kuliko hayo magundi na kazi inakuwa safi.
3. Fundi anakubadilishia kioo au back glass akimaliza anabana na Rubber band. Serious?????
Fundi unakosa hata vitu kama hivi?
Au hii
Yapo mengi ila kwa leo hayo matatu.
Mimi simu zangu narekebishia home maana unaweza kujikuta umemnasa fundi vibao.
1. Unakuta fundi hana hata hot air blower gun au hata kama anayo hajui matumizi yake. Unampelekea simu unataka kubadili battery. Simu ina back glass, anaanza kuforce kutoa back glass kwa kuingiza vitu mule pembeni. Sometimes anaishia kuivunja, ukiwasha moto unaanza kuonekana mkali.
2. Kuweka gundi. Yaani fundi simu anakuwekea magundi mengi kazi inakuwa mbaya hata haivutii. Mbaya zaidi anaweka hayo magundi halafu hata glass yenyewe haishiki.
Wengi wanatumia B7000 glue lakini sidhani kama tatizo ni B7000. Maana ni gundi ambayo ina review nzuri mitandaoni.
Nadhani shida siyo gundi ila shida ni kuipa hiyo Gundi mazingira inayotaka ila ishike vizuri. Hiki kipengele wengi wanafeli.
Suggestion; Badala ya kutumia hizo gundi tumieni double wall Adhesive tapes. Hizi tapes zipo specific kwa ajili ya simu husika au zipo ambazo ni multipurpose. 1mm au 2mm inafaa sana. Zinabana vizuri kuliko hayo magundi na kazi inakuwa safi.
3. Fundi anakubadilishia kioo au back glass akimaliza anabana na Rubber band. Serious?????
Fundi unakosa hata vitu kama hivi?
Au hii
Yapo mengi ila kwa leo hayo matatu.
Mimi simu zangu narekebishia home maana unaweza kujikuta umemnasa fundi vibao.