Hizo tofauti unazoziona ndogo ni za muhimu sana kama ni mtu wa kupenda high perfomance
Ila kama ni mtu wa kupiga simu, kupokea, kuperuzi insta basi 7plain ni option nzuri.
7pro ina 12GB ram wakati 7plain ina 8, kwangu mimi nikitumia factor hii tu ya Ram siwezi kuona kama gape la 4GB ni dogo hususani pale tunapoona kuna simu zipo mtaani zina operate kwa 4GB.
Tunapoelekea miaka ya mbele, 7pro inakupa nafasi kubwa ya kuendelea kutumia simu yako kulingana na mahitaji ya wakati huo kuliko 7 plain.
Sasa imagine 12GB unaipata kwenye flagship
Hapo sijataja mambo mengine kama battery 5000, refresh rate 120hz, telephoto zoom nk.