Biashara nyingi za Jumla ni uwe unachukua vitu vingi.
Kama unanunua mwenyewe online hata eBay unapata ukitumia keyword "lot of" mfano kama hizi
Kwa hapa Tanzania kuna Chris lukosi bunju, sema jamaa minada yake haipo kistaarabu, nyomi lake linataka uvumilivu. Mcheki FB angalia na WhatsApp zake
View: https://www.facebook.com/reel/1410820900673808/?app=fbl
Sometimes huwa anauza vitu vikiwa kule kule Uingereza sema jamaa ana tamaa MTU akifika dau kubwa anaweza akauza mzigo wako, kama hilo nyomi la watu kwa maelfu halikusumbui laptop za kuokoteza Hana mpinzani huyu. Nishaona MTU anachukua Hadi gen ya 8 KWa chini ya laki 2.