Kupiga simu kwa kutumia laptop

Kupiga simu kwa kutumia laptop

The mission 2017

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
6,179
Reaction score
14,062
Wadau nimeibiwa simu juz kati, hivo napata shida kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki
Naomba anae jua jinsi ya kupiga simu kwa kutumia computer anielekeze
 
ila nina pc na modem nachoweza kufanya ni kutuma na kupokea sms.Nahisi kuna namna naweza piga simu kwa kutumia pc, ndo maana natafuta wajuvi wa mambo wanisaidie, naamin jamii forum ni kisima cha maarifa
 
ila nina pc na modem nachoweza kufanya ni kutuma na kupokea sms.Nahisi kuna namna naweza piga simu kwa kutumia pc, ndo maana natafuta wajuvi wa mambo wanisaidie, naamin jamii forum ni kisima cha maarifa
Ngoja waje wataalam wakuelekeze apps zinazofanya hivyo.
Mimi ofisini natumia microsoft lync.
 
Hizi hilink ni changamoto maana zinafanya connection kwenye Web browser. Ingekuwa modem ya kawaida ingekuwa poa sana.

Lakini kuna namna ya kubadili hi link to normal Dongle
ni elekeze mkuu wangu kama unafahamu, utakua umenisaidia pakubwa sana
 
Skype. Download iyo kitu. Then kama una no za unayempigia it will work
 
mh wewe kama una line weka modern then to pc downld skype ila kam hun waslian na wa email ty
 
ila nina pc na modem nachoweza kufanya ni kutuma na kupokea sms.Nahisi kuna namna naweza piga simu kwa kutumia pc, ndo maana natafuta wajuvi wa mambo wanisaidie, naamin jamii forum ni kisima cha maarifa
Chomeka earphone nenda kwenye call option alaf piga simu
 
Back
Top Bottom